Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kupendwaaaaaaa raha. Hasa ile ya ukweli.
Khakhakhaaaa!! Ya ukweli ndio unaijuaje hio shosss akeee!!!!!!!
Japo leo napenda kuwa msomaji zaidi hii topic ya mahusiano ( especially kipengele cha Nature vs Reality!!😉😉)
 
Hyo pesa yenyewe ninayo sasa
FB_IMG_1659892911006.jpg
 
wee yuleeee alinitakaaaaaa ila kanikutaaaaa sina hulka na magume gume ya duniani, mwanzoni kabisaaaa alikuwa anakuja kwa space, nakumbukaa had aaanze bifu, eti alitaka story of ma lifeee,. Na nime date na watu wangapiiiii?? Kheeeeeh nkaona huyu analeta mambo meusi.

Nkampaaa cha mbavuuuu ndo akaaanza kuletaaa kisirani chakeeee.
Bora umenikataaa kimyamya 😕😕😕 ningeficha wapi ID yangu hope umefuta PM zote na message zangu 😣😣
 
wee yuleeee alinitakaaaaaa ila kanikutaaaaa sina hulka na magume gume ya duniani, mwanzoni kabisaaaa alikuwa anakuja kwa space, nakumbukaa had aaanze bifu, eti alitaka story of ma lifeee,. Na nime date na watu wangapiiiii?? Kheeeeeh nkaona huyu analeta mambo meusi.

Nkampaaa cha mbavuuuu ndo akaaanza kuletaaa kisirani chakeeee.
Mweee
Mbona mambo za kiswahili sasa ?

Bana weee
Waende wakafie mbele

Hatutoi airtime kwa watu wenye akili chache, wapambane tu na makasiriko yao.
Unakuta jitu limetibuliwa na A, basi akikuona una interact na A na lenyewe lapata wazimu na wewe.. huko ni kukosa akili

Ila jf inachekesha sana 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom