Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora umenikataaa kimyamya ningeficha wapi ID yangu hope umefuta PM zote na message zangu
wee hebu ukuje unitongozeee nionee msimamo wanguuuu, pengineeee now confidence ishaishaaaa.

Mie mbna sina issues za kutangazana, sema huyu mbna vita ilikua wazi wazi kabisaaa. Mie mbna sina mambo ya kiwaki.

Sitaki ni sitakiii, natakaa bas natakaaaa,

Nipo real sanaaaa, nikipendaaaa huwa napenda kweliii. Afu sijifichiiii napenda sana uhuru na amani.
 
Mweee
Mbona mambo za kiswahili sasa ?

Bana weee
Waende wakafie mbele

Hatutoi airtime kwa watu wenye akili chache, wapambane tu na makasiriko yao.
Unakuta jitu limetibuliwa na A, basi akikuona una interact na A na lenyewe lapata wazimu na wewe.. huko ni kukosa akili

Ila jf inachekesha sana
JF hii ya kuitazama na kusema "hiiiiii" kwa sauti ya JPM.
 
Uwiiiii umeniacha bila ya kunipa chikumi na bado sikufika mlima kitonga
JamiiForums-1813778391.jpg
 
wee hebu ukuje unitongozeee nionee msimamo wanguuuu, pengineeee now confidence ishaishaaaa.

Mie mbna sina issues za kutangazana, sema huyu mbna vita ilikua wazi wazi kabisaaa. Mie mbna sina mambo ya kiwaki.

Sitaki ni sitakiii, natakaa bas natakaaaa,

Nipo real sanaaaa, nikipendaaaa huwa napenda kweliii. Afu sijifichiiii napenda sana uhuru na amani.
😊😊😊😊 Mambo ndio haya sasa.. Acha nije, naweza pata pa kujificha
 
Back
Top Bottom