Nature iko hvyoand we can't change
Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zile
amekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app