Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona hapo pametuna? Umeficha nn babu
 
Sema wa kishua usitupige madongo namna hiiπŸ˜‚πŸ˜‚

Carlos atakua busy kwenye ujenzi wa taifa

Umesharudi toka kule ulikoenda?
 
Sema wa kishua usitupige madongo namna hiiπŸ˜‚πŸ˜‚

Carlos atakua busy kwenye ujenzi wa taifa

Umesharudi toka kule ulikoenda?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwendeni huko madebe yaso na kitu


Aendelee kumjengea babe ake

Nimerudiii
Nikaenda na village kutii haja ya moyo wangu…
 
Niwie radhi Mjukuu, next time zikitoka nitahikisha zinakufikia. Hizi za Juzi niibiwa pale Tabata alikopotelea yule Diwani wa Kawe πŸ™ˆπŸƒπŸƒπŸƒ
Kwahiyo babu nawe unaendaga kufichwa Tabata? Tena si ajabu ni pale Tabata Bima wenyewe wanapaita Tabata Baima πŸ₯Ή pakakubamizia hadi bajeti ya wajukuu
 
Pozi hili nakumbuka mara ya kwanza nimekaa ni wakati napiga picha ya kuweka ukutani na Bibi yenu Mwaka 68, nimekumbuka mbali sana Mjukuu πŸ€ͺ
Pozi matata sana hilo babuu Ulivoachia miguu hapo kati sasa pako relaxxeeedd penyewe hadi aibuuu nimeona mjukuu HakyananiπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…