Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
1st year au 1st date
1st year au 1st date
Wapi??😔😔Na zile ulizonazo ni nini?
Sijawahi kuwaonaKwahio Anne na mama pasta unawaweka wapi sasa??
Wengi wao wana miili ya ki giant afu wamepanda hewani sasa!
Tuoneeee
Mimi ni mwembamba kumbe?🤣🤣🤣Kwahio Anne na mama pasta unawaweka wapi sasa??🤔🤔
Wengi wao wana miili ya ki giant afu wamepanda hewani sasa!
Aiseee!!Wapi??![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi ni mwembamba kumbe?🤣🤣🤣
Zitapoteaje wakati hazikuwepo?Aiseee!!
Au unataka zipotee?
Huyu mama Pasta ni chibonge..ila anafanya diet kama za Lizzy.Una utani na Anne na mama pasta
Wengi wao wana miili ya ki giant afu wamepanda hewani sasa!
Hahahaa!!!Tuoneeee
Wekaa wekaaaHahahaa!!!
Wee kumbe!! Kwenye picha anaonekana mwembamba!Huyu mama Pasta ni chibonge..ila anafanya diet kama za Lizzy.
Mimi ni hela tu zinanitatiza...nikiziotea mtanipotea.
Mbona mimi kimbaombaoSijawah kuona binti wa kinyakyusa mwembamba kama watani zangu wachaga![]()
Nani?Wee kumbe!! Kwenye picha anaonekana mwembamba!





Thubutuuuu!! weka zako za Mwili wa kinyaki nione mishepu kwanza !!Wekaa wekaaa
Heeeecocastic ana nafuu nakwambia!! sikuwa na tumbo hata... lilifutuka baada ya kuzaa





Mama pasta HS! Itakua macho YanguNani?
Tukunyema huyo..
Angalia vizuri.
Embu nikuoneMbona mimi kimbaombao
Shepu ya mchongoThubutuuuu!! weka zako za Mwili wa kinyaki nione mishepu kwanza !!




