Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 670
- 2,278
Kuna watu nmewamiss humu,,Watu wa mungu hamjambo
Daaaah!!!hiyo ss mabalanjuna tunaoga kwa picha tyu
Heshima yako chiefKuna watu nmewamiss humu,,Watu wa mungu hamjambo
View attachment 2349190
Leo tulale banaa, nyumbani utaenda kesho😀😀Jinsi niko mbali bado na home, natamani kulia hapa kuikosa Kina
😂😂😂 naangalia hata sielewiJinsi niko mbali bado na home, natamani kulia hapa kuikosa Kina
🤣🤣😂😂😂 naangalia hata sielewi
Uko na earphones? 🤣🤣 natuma voice note 😂😂🙌 maanq nikiandika naona hutaelewa
Ina dk 1 😂😂😂🤣🤣
Em tuma nilipo kuna makelele hatasikia mtu
Earphone ipo kwa pochi pia nikiona ndefu natumia hyo
Nisirudi eeh😅😅Leo tulale banaa, nyumbani utaenda kesho😀😀
Eeh si unajua iPhone 14 Pro max 😊😊Nisirudi eeh😅😅
Wacha niwapigie basi simu wasije nitafuta
Af ni dk 1 kamili🤣Ina dk 1 😂😂😂
Koseni vyote banaa
Ila akili muhimu mtu wangu 🤣
Unasamehe maisha yaendelee. Kumbe nobyara!Mnajirudi ila mwenzio unakua ushamjeruhiii vyakutoshaaaa kihisia / mapenzi yote kwako yanaishaaa yanakataa kabisaaa inabaki tu no way ni mume wangu sasa nifanyeje teenaaa wengine Ndiokwanzaaaa unakua nayeye nikama umefungulia mbwaaaa.. mioyo imetofautiana ohooooo
Mie Naenda kupanda vimaharage one time nitarudi![]()
😂😂😂 stika yafaa nini kwenye kile kioja?Af ni dk 1 kamili🤣
Nimechekaa, ngoja nitulie nitume sticker ambayo itafaa 🤣🤣
Wee akili muhimi sana😂😂
12 si mchezo asee.View attachment 2347893
Kazi iliyotuleta duniani ni kama mwanamama hapo juu. Tuje tuzae kuijaza dunia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh si unajua iPhone 14 Pro max 😊😊
Rahisi ni kufa tu 🤠🤠🤠🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo hayajawahi kuwa marahisi kwenye hii dunia
Hahaa hamna namnaRahisi ni kufa tu 🤠🤠🤠
Tule raha 😊😊Hahaa hamna namna