Selfika na JF: Snap it. Show it

Danganya toto zinakera tena sana tu ..mtu awe clear jamani anataka nn na sio beating around the bush .

Kupotezeana tu muda , sema hivi yaishe . Kiukweli inauma victims wengi ni wanawake katika suala zima la mahusiano .
 
Hebu acha mawazo mabaya. Acha negativity. Saint Anne anasema kuwa na Imani. Yes huwa tunateleza, lakini tunajirudi.
Mnajirudi ila mwenzio unakua ushamjeruhiii vyakutoshaaaa kihisia / mapenzi yote kwako yanaishaaa yanakataa kabisaaa inabaki tu no way ni mume wangu sasa nifanyeje teenaaa wengine Ndiokwanzaaaa unakua nayeye nikama umefungulia mbwaaaa.. mioyo imetofautiana ohooooo
Mie Naenda kupanda vimaharage one time nitarudi
 
Viharage vizuri hasa yawe hajakauka utafurahi na utamu wake
 

I love this.


So shall it be IJN......

#NotAllMen#
 
Danganya toto zinakera tena sana tu ..mtu awe clear jamani anataka nn na sio beating around the bush .

Kupotezeana tu muda , sema hivi yaishe . Kiukweli inauma victims wengi ni wanawake katika suala zima la mahusiano .
Yeahhh.. weka wazi from the beginning ijulikane... sema sasa Wengi wetu hukofia kuweka wazi baabdhi ya mambo kwa warakataliwa au kutolewa nje! Kama muelewa atakuelewa tu japo kiukweli some truth hurts you know πŸ˜‰
 
Hongera bibie safi sana panda mwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…