Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.


Tafadhali tu mtoto wa watu niliyempenda asiniumize.



Hili hadi Mungu nimemwomba sana na Nina amini anajibu.

Watu huwa wananiambia kuwa wanaume ni wasumbufu,Mimi nasema wa kwangu hata kuwa msumbufu.
Wanasema karibia wote wasumbufu,,wachache sana walipona.
Nasema katika hao wachache basi na wangu atakuwepo hapohapo.
IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
 
Tusikukatishe tamaa dear japo tulipataga wa hivo na hamna kitu lkn IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
Aminaaaaaaaaa!!!
Kila lenye kheri likawe juu yetu IJN!
Kiitikio Saint Anne 😉😘
 
Ila ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.


Tafadhali tu mtoto wa watu niliyempenda asiniumize.



Hili hadi Mungu nimemwomba sana na Nina amini anajibu.

Watu huwa wananiambia kuwa wanaume ni wasumbufu,Mimi nasema wa kwangu hata kuwa msumbufu.
Wanasema karibia wote wasumbufu,,wachache sana walipona.
Nasema katika hao wachache basi na wangu atakuwepo hapohapo.
Sio wanaume tyu hata sie wanawake pia sometimes ni wasumbufu kisheenzzzz tusiegemee upande mmoja tuseme tu inategemea!!
Ila Hatukatishani tamaa dear midamida Tunakumbushana pia ...
"Wapendanao ndio maadui zikitimia" Note that pia📝 mi kama kuna ukweli sijui uongo sijui watajua wenyeweeee😉😉!
 
Sio wanaume tyu hata sie wanawake pia sometimes ni wasumbufu kisheenzzzz tusiegemee upande mmoja tuseme inategemea!!
Ila Hatukatishani tamaa dear midamida Tunakumbushana pia ...
"Wapendanao ndio maadui zikitimia" Note that pia📝 mi kama kuna ukweli sijui uongo sijui watajua wenyeweeee😉😉!
Yah,wanawake pia huwa tuna matatizo sana..Maneno maneno,fujofujo Kwa wingi hadi mtoto wa watu anachoka.
Japo Kwa wanaume imezidi.
 
National Anthem anthem wanawake hawajui jinsi wanaume wanavyojua kuigiza mapenzi, mwanaume anaweza kukuonyesha anakupenda lakini kichwani kwake ni yeye na Mungu tu kufahamu anakuwazia nini, tena hasa mwanaume mwenye kipato, anaweza kukunulia perfume kali, breakfast Zanzibar kama Dizasta Vina anavyosema kwenye nyimbo yake ya hatia namba 2, na still hakupendi, na hii ndio part huwa inawa confuse sana wanawake.. wengi wakidhani kununuliwa vitu vya thamani ndio love yenyewe...

Ushauri wangu get to know the guy before you jump in the sack with him, ata pretend ili apate sexual favors from you and when they accomplish that, they move on to their next female, be careful..

 
IMANI

shikilia Imani ulonayo Imani sikuzote ndo inaumba ukiwaza mabaya yatakuja pia ukiwaza mema yatakufuata amini km ulivoamin na itakuwa hivo maishayenu yote mengine muachie Mungu
Imani ni hakika ya yatarajiwayo..Bayana ya mambo yasioonekana.

Sijui kwanini huwa sipendi kuwaza mabaya.
Juzi dada yangu toka nitoke ananiambia wanaume huwa wasumbufu wewe ..hujakutana na matukio.
Namwambia Naamini wasio wasumbufu wapo pia.

Ndio nipigwe tukio Mungu wangu si ndio magonjwa ya kuzirai yataanza.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
National Anthem anthem wanawake hawajui jinsi wanaume wanavyojua kuigiza mapenzi, mwanaume anaweza kukuonyesha anakupenda lakini kichwani kwake ni yeye na Mungu tu kufahamu anakuwazia nini, tena hasa mwanaume mwenye kipato, anaweza kukunulia perfume kali, breakfast Zanzibar kama Dizasta Vina anavyosema kwenye nyimbo yake ya hatia namba 2, na still hakupendi, na hii ndio part huwa inawa confuse sana wanawake.. wengi wakidhani kununuliwa vitu vya thamani ndio love yenyewe...

Ushauri wangu get to know the guy before you jump in the sack with him, ata pretend ili apate sexual favors from you and when they accomplish that, they move on to their next female, be careful..

View attachment 2347763
Msitutishe jamani
Usinikate maini jamani.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ujue tyu Mapenzi yana seasons mdogo wanguuu! Jiandae kwa yote na usiwe na lots of expectations kwa Mwenzio sometimes mambo hubadilikaa huyohuyoo anoonesha malovee kama yote hapo mwanzo anaeza kugeuka ukabaki unajiuliza bila majibuuu!! Hii inaapply kwa wotee yeyote aeza badilika
Ni kujiandaa kwa yoteee pia!! Na Sometimes Ni Kupambana kama mlivosema hapo juu na mamaa lipss Tinsley nawengine ikifika Crisis ndio balaaa ifike crisis afu no resolutions ndobasi tenaaaa til we meet again 👋
Note that pia!

Nipo Naendelea kusoma tena 🙇🙇🙇
Mapenzi ni pasua kichwa
Leo mnapendana kesho hamuongei
 
Yah,wanawake pia huwa tuna matatizo sana..Maneno maneno,fujofujo Kwa wingi hadi mtoto wa watu anachoka.
Japo Kwa wanaume imezidi.
"Kwa wanaume imezidi"How ?? When where???
Can you clarify more pullliiizzzzzzzzzzzzzzz??🤔🤔
Nipo nanote hapa📝📝


yeah kwa wanawake tuna mambo mengi pia nadhani wao wanaume ndio wana majibu sahihi katika maproblee yetruuu wanawake!
 
Back
Top Bottom