Ameeeennn!! "Tutafute pesa"πMm zamani nilikuwa kma Anne kulia Lia tu alafu unachokiliansasa na kile kisogo najiulizaga nilikwama wapi mm lakn sahiz roho imekuwa ngumu tutafuteni Hela jamn π
π π
Aiseeππππππ
Hakuna mtu ambaye hajui kupenda.
Mungu alituumbia upendo..
Kazi ni kupata mtu unayempenda na yeye anakupenda.
Mimi napenda kwa moyo woteπ
Ila ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.Sauwasauwaa Anne!!π
Kabisa!Hela ni jawabu la kila kitu πππ sio mapenzi
Mungu alituumbia moyo wa upendo ndani yetu.Aisee
We nzako zipo kwenye ndoa πππKabisa!
Muhubiri anasema "Na pesa ni jawabu la Mambo yotee"
Ngoja nizisake kwanza.
ππ¨Kitu kinachoweza nipa stress ni hela tu haya mengine hapana, ninayafanisha na ushuzi tu, unajamba harufu kidogo then inapotea ππ
Wanasemaga ukitaka kuenjoy basi kitu kikimbia usikikimbize kitazidi kwenda mbali ZaidiAmeeeennn!! "Tutafute pesa"π
Mie nanote tyu jamaneeee sitii nenoo
Baba pasta nakusalimia kwa sauti βMuhubiri 11:1
Jishughulishe na biashara
hata kama kwa kubahatisha;
yawezekana baadaye
ukapata chochote kile.
AmiinIla ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.
Tafadhali tu mtoto wa watu niliyempenda asiniumize.
Hili hadi Mungu nimemwomba sana na Nina amini anajibu.
Watu huwa wananiambia kuwa wanaume ni wasumbufu,Mimi nasema wa kwangu hata kuwa msumbufu.
Wanasema karibia wote wasumbufu,,wachache sana walipona.
Nasema katika hao wachache basi na wangu atakuwepo hapohapo.
Ujue tyu Mapenzi yana seasons mdogo wanguuu! Jiandae kwa yote na usiwe na lots of expectations kwa Mwenzio sometimes mambo hubadilikaa huyohuyoo anoonesha malovee kama yote hapo mwanzo anaeza kugeuka ukabaki unajiuliza bila majibuuu!! Hii inaapply kwa wotee yeyote aeza badilikaIla ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.
Tafadhali tu mtoto wa watu niliyempenda asiniumize.
Hili hadi Mungu nimemwomba sana na Nina amini anajibu.
Watu huwa wananiambia kuwa wanaume ni wasumbufu,Mimi nasema wa kwangu hata kuwa msumbufu.
Wanasema karibia wote wasumbufu,,wachache sana walipona.
Nasema katika hao wachache basi na wangu atakuwepo hapohapo.
πππ Wa moto huyo, kala kitu cha saint anne nusu chupa tayari gari imewekaWe National Anthem leo Saint Anne umemnywesha nini?
Zimefika na kujaa Alayna uzima upo?Baba pasta nakusalimia kwa sauti β
Napata nondo kutoka kwa vijana Jirani!! Wewe hutii ka neno jirani yetu selfika??πππ π
Lazima zije Mungu anaweka njia Kwa watu wanaojishughulisha always na hakuna miracles sehemu ambako hukuweka juhudiAmeeeennn!! "Tutafute pesa"π
Mie nanote tyu jamaneeee sitii nenoo ilaa nna ka swalii auntie sophy27 Mjomba National Anthem ukitafutaa tafutaaa weeee na pesa hazikuji tafutaaa weee wapi unafanyeje hapo sasa auntie madame na venye you know life sometimes fucks!!ππ
Majibu kwako sweetmadame sophy27 National Anthem
Tupeni mbunuu tupeni mbunuu tutoboe wapendwa
Nimeona nimeonaaaa Mdogo wangu umekorezwa kusawasawa ila safiii walau hata mabadiliko yanaonekana hata yale mabadiliko ya juu juuu tyu aisee au nasema uongo wapendwa wa Selfika???π€£π€£π€£π€£πMwambie mwambie ππππ