Selfika na JF: Snap it. Show it

kwa kweli nikiona mtu ana date na boda boda, huwa namshusha mnooooo.

Boda boda???? Nehiiiiiiiii
 
Tulitekeka wote basi au ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ile peke yake haitoshi bana ๐Ÿšฎ
Me nilitekwa na vingi, ni vile tu we shoga angu azawaiz tungebonga biznes mpya ya connection ile jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kumbuka huwezi pata vyote sehemu moja, so pambana na hali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Me nilitekwa na vingi, ni vile tu we shoga angu azawaiz tungebonga biznes mpya ya connection ile jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kumbuka huwezi pata vyote sehemu moja, so pambana na hali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ ngumu kumeza
Hali haipambaniki
 
Ofisi za umma ๐Ÿšฎ
Almanusura niishie getini, kisa nguo ina mpasuo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nilimwangalie yule mama na jicho la huruma๐Ÿ™Œ
Nikamwambia mama tafadhali ni leo tu ๐Ÿคฃ
Lenie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ