Sure
Ila watu wa Arusha wana hasira jamani
Ni vile tu sio famous kama wakurya,, ila na wao mori zikipanda moto wake ni balaa..
Nimeogopa sana
nyie wanaume when it comes to cheating issues mnakuwaga wakatili sanaaa โฆ
Mwisho jana nakwambia
Hapa kuna muda nawaza tumwambie faza house aongee na mpangaji wake, siku wasije butuana mtu akateleza kwenye tiles akajiKanumba..
Maana nilivyohisi jana ni kama dada ameelewa sana show ya boda boda