Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi DSTV online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Natumia zaidi Telegram kuliko whatsapp . Ila huwa naweza kuishi na kitochi aisee kwa mfano kama sio kuanzia kesho basi kesho kutwa naishi na tochi mie ππ
Instagram zile high quality reels, videos na picha, halafu ujue ile ni endless una scroll tu, pia huwa inatangulia kupakua picha kabla hujazifikia, huwa ina preloads videos na picha, lazima i consume excessive data sio jamiiforums ina pagenation
Natumia zaidi Telegram kuliko whatsapp . Ila huwa naweza kuishi na kitochi aisee kwa mfano kama sio kuanzia kesho basi kesho kutwa naishi na tochi mie ππ
Instagram zile high quality reels, videos na picha, halafu ujue ile ni endless una scroll tu, pia huwa inatangulia kupakua picha kabla hujazifikia, huwa ina preloads videos na picha, lazima i consume excessive data sio jamiiforums ina pagenation
Me hua nafurahia net haisumbui kumbe ndio bando linaenda hvyo.
Na hzo reels saiv zimekua nyingiii, hata mtu hujamfollow unakuta wanakuletea kwa timeline yako