Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,466
- 203,083
😂🤣🤣🤣 emu KwendraaaAki sauti ikinivutia nitaiweka kama ringtone ya simu yangu😅
😂🤣🤣🤣 emu KwendraaaAki sauti ikinivutia nitaiweka kama ringtone ya simu yangu😅
Jiraniiii...tutaipataje sauti.😂🤣🤣🤣 emu Kwendraaa
Bana nimepata shauku ya kusikia hyo sauti yako ili niimagine unafananaje😂🤣🤣🤣 emu Kwendraaa
Ngoja niwarekodie 😂Atakuwa poa jirani...ngoja tusubiri, anaweza kupost voicenote..😁
SawasawaBana nimepata shauku ya kusikia hyo sauti yako ili niimagine unafananaje
Ujue mara nyingi sauti inaendana na sura😂😂
Akili hunaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂Bana nimepata shauku ya kusikia hyo sauti yako ili niimagine unafananaje
Ujue mara nyingi sauti inaendana na sura😂😂
TutafurahiNgoja niwarekodie 😂
Wacha weeee 😂😂😂😂Eeh tuisikie hiyo sauti iliyosifiwa
Ila kwa comments zake me namuona ni mtu poa kweli
SitakiAisee....jirani na sie tusikie sauti kidogo.
Bar ni ya Kanisa?Unashangaa hapo
Nenda hapo kanisa la Bufalo
Kuna Bar kabisa
Uwiiiiiii nimeipoteza tena?Akili hunaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂
Ndio unaonekana mcheshi huna gubuWacha weeee 😂😂😂😂
Sisalimii njiani mm 😂😂😂😂
Af hiyo ipo sana, hasa kwa mtu ambaye humfahamu watu wanamzushia tu.
Kwahyo kuanzia sasa uwage unasalimia shogaa😅
Ila bana mwenyew kusalimia salimia watu ambao sijawazoea sina labda niwe eneo hilo nimesimama sawa ila sio napita njia basi kila kundi la watu nisalimie hapana kwakwel.
Jirani...imba kidogo tusikie.Sitaki
YaaniJirani...imba kidogo tusikie.
Kuna kipindi ndugu yangu alitoka kuleee mahome akaja mjini for the 1st time.Sisalimii njiani mm 😂
Tena nitakuwa napita na airpods sahivi
Ndio wanione naringa vizuri 🤸🏻♀️