Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,474
- 203,090
😂😂😂 kama ile ? Dukani haiko. Dukani utapata fake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani sajari ya kupata rangi flani ya mtume ni shingapi?
😂😂😂 kama ile ? Dukani haiko. Dukani utapata fake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani sajari ya kupata rangi flani ya mtume ni shingapi?
Haswaaaaaaaah.Ewaaaaa......!!
Man u tunaifanya weekend yako iwe poaNiko busy 😘😂 leo games kama zoteee
Ole wenu muharibu 😂😂😂😂Man u tunaifanya weekend yako iwe poa
Sisi tena? Anayekuja kukuharibia siku yako ni Chelsea. Utaniambia niko hapa nawasubiriOle wenu muharibu 😂😂😂😂
Uchawi waachie watu wasiojielewaSisi tena? Anayekuja kukuharibia siku yako ni Chelsea. Utaniambia niko hapa nawasubiri
🤣🤣🤣 poa poa. Ngoja tuenjoy mpira mzuriUchawi waachie watu wasiojielewa
Selfika basi🤣🤣🤣 poa poa. Ngoja tuenjoy mpira mzuri
Acha tu concentrate na game kwanzaSelfika basi
SitakiAcha tu concentrate na game kwanza
Mimi siyo mrefu wewe...
Mimi ni "Tall" ila sina hakika kama ni "Dark" kuna ka lotion flani natumia keusiii kama mkaa nafanya jitihada nione kama December itafika nikiwa nimefanikiwa kuwa Dark ili mama mchungaji Heaven Sent anisajiri kwenye kile chama
Ila bahati mbaya sina uchebe, ndevu zangu hazina ushirikiano![]()

Yaani sipati





Toka Ila baadae mpo uwanjani mkateseke



