Nimfotoe,Nikatupie kwenye uzi wa vituko vya sensa
Home walikutana na dogo,yeye kasema kila alichokuwa anaulizwa amejibu hatuna
Nyumba ina vyumba vingapi vya kulala??
Taka mnachoma au mna shimo??
Kuku?
TV?
Umeme?
Bomba?
Kisima?
Paso/mkaa au umeme?
Radio??
Jiko??
Ningekuwepo daah,