Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ™Œ Mbavu zangu na kweli huyu National Anthem siyo wa kumwamini anaeza jikwaa kusudi!
Kulana giza ni makosa kama makosa mengine πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ ambayo unaweza jikuta mikononi mwa vyombo vya sheria... piga mataa kama yale ya uwanja wa ben mkapaaa unaona hadi utumbo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Nimeambiwa home nilishahesabiwa,

Sijawahi bahatika kukutana na karani wallah,nikikutana na karani lazima nimfotoe,
kwann sasa umfotoe?? Si wamekatazaaa???

Mama juzi ananiambia, yaan ningekuepo home yule karani angejuta mbna, anasema wanauliza maswali mengine ambayo hayana hata umuhimu, nkachekaaaa.

Afu karani mwenyewee n mdada, mama ananambia ungekua wee kichaaa ungemsuuza had baas, uwiiiiiiih.

nilicheka sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…