Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kwendraaa
Huyo ni mtetea hamna jogoo...
Kwanza nilipe madeni

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwendraaa
Huyo ni mtetea hamna jogoo...

Bado hawajakuuliza mjini walikuja mwaka ganinikianza taja wakazi wa kaya wataniatamani..
Wigelekelo VVIP escort 1
Post M-alone pilot
Saint Anne muhasibu
Antonnia mkemia
Shimba ya Buyenze mkufunzi
Lenie afisa .....:
Lizzy digitalist
Heaven Sent kwaya master
Extrovert daktari bingwa
financial services mwafunzi mtukutu wa CPA
Surbi mfanya biashara wa maji
sophy27 mfamasia
mawardat mfanya biashara
spidernyoka mtunza bustani wa shamba la nyoka
Pau Bae mtoto wa nyumbani asahivi yupo jikoni anapika
nipo hapa naanda list ya wote


Wacha wee Cuzoo huyooMm nishamwambia ktambo atume namba yake ya tigo nmtumia ka tgo pesa bt mtoto wa shangaz hatak hajui kama niko congo huku msitun hakuna maduduka.
hilo tu huenda karani akachukia maana huenda akaishia kwenye kaya yangu tu, sina kazi ya kufanya so aje nimpumizkie






Salimia hapo kitengeni kwenu 🫣🫣
Hapana,watu wa Arusha ni majambazi waliokubuhuMngejua kama makarani wanajiteka



Asubuhi Depal alituma message humu kwa pale chini ikasoma ..
Ameifuta haraka...
Sent from my KISHIKWAMBI CHA SENSA using JamiiForums mobile app




🫣🫣🫣 maswali ya mauzi ati mjini walikuja lini kwani walikuwa vijijini 🤣🤣🤣 2012 wote walikuwa makwaoBado hawajakuuliza mjini walikuja mwaka gani
Na mwaka 2012 walikuwa mkoa gani
Eti mtunza bustani wa shamba la nyoka
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Watakula jeuri yaoNdio imekula kwao hivyo, watajihesabu wenyewe![]()

Watu wa Arusha hawashindwi kukifanya pambo la nyumbaSijui wapoje yaani.
Kishkwambi chenyewe kipo customized kwa ajili ya sensa mtu anaiba, kama sio ujambazi uliochanganyika na ushamba ni nini



🫣🫣🫣 maswali ya mauzi ati mjini walikuja lini kwani walikuwa vijijini2012 wote walikuwa makwao








Wanakuulizia mdau leo hupitii?Salimia hapo kitengeni kwenu 🫣🫣
🤣🤣🤣🤣Watu wa Arusha hawashindwi kukifanya pambo la nyumba
Au wanadhani watakipamba kama maua ya migomba
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
nipite kufanyaje 😃😃 nyie watu wazito bwanaaWanakuulizia mdau leo hupitii?
Uje hata unywe kahawa, tupige story 2/3 kuhusu sensa😅nipite kufanyaje 😃😃 nyie watu wazito bwanaa
🫣🫣 mwanaume wa dar kazini
😬😬😬 haya kwaiyo nije hapo st peter au kinondoni au pale hivi kidogo chini juuUje hata unywe kahawa, tupige story 2/3 kuhusu sensa😅
We!unatakq kuninyima niniShikamooo
Kwa sasa tupo hapa hivi kidogo chini juu😬😬😬 haya kwaiyo nije hapo st peter au kinondoni au pale hivi kidogo chini juu