Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,899
- 136,565
Mtataka tu,kama sensa.Hatutaki
Mtataka tu,kama sensa.Hatutaki
Leo ni zamu ya makarani wanaselfika.. najua wapo humu..Chart na picha
Makarani wa Dar hao, wezi wezi tu..Mngejua kama makarani wanajiteka
Tangu wameambiwa ukiibiwa unapewa nyingine basi wanaibiwa haoMakarani wa Dar hao, wezi wezi tu..
Kakificha nyumbani
Anasingizia kimeibiwa
Watuhesabu,Leo ni zamu ya makarani wanaselfika.. najua wapo humu..
Watatuhesabu mtaaniWatuhesabu,
Usimuingize jirani kwenye uwizi wenuKwani jirani yuko wapii myoyambendi
Si ndio mlichokua mnakitaka hikoNa hatuna shida ya kuhesabiwa
Pipozzzzz
Pawaaaaaaaaa
😀😀😀 hilo tu huenda karani akachukia maana huenda akaishia kwenye kaya yangu tu, sina kazi ya kufanya so aje nimpumizkie🤣🤣🤣
Utamaliza mahojiano huku jasho lilikutoka maana watu wakiwa wengi maswali yanazidi kuwa mengi
Hahahaha!unataka ya TIGO4G LITESitakiiiiiii.
Anataka TigoHahahaha!unataka ya TIGO4G LITE
Mm nishamwambia ktambo atume namba yake ya tigo nmtumia ka tgo pesa bt mtoto wa shangaz hatak hajui kama niko congo huku msitun hakuna maduduka.Anataka Tigo
Mimi nimelala kwenye kaya jananikianza taja wakazi wa kaya wataniatamani..
Wigelekelo VVIP escort 1
Post M-alone pilot
Saint Anne muhasibu
Antonnia mkemia
Shimba ya Buyenze mkufunzi
Lenie afisa .....: 😀😀
Lizzy digitalist 🤣🤣
Heaven Sent kwaya master
Extrovert daktari bingwa
financial services mwafunzi mtukutu wa CPA
Surbi mfanya biashara wa maji
sophy27 mfamasia
mawardat mfanya biashara
spidernyoka mtunza bustani wa shamba la nyoka
😀😀😀😀😀 nipo hapa naanda list ya wote
Me afisa kipenyo au 😂 ? Mbona kuna .....nikianza taja wakazi wa kaya wataniatamani..
Wigelekelo VVIP escort 1
Post M-alone pilot
Saint Anne muhasibu
Antonnia mkemia
Shimba ya Buyenze mkufunzi
Lenie afisa .....: 😀😀
Lizzy digitalist 🤣🤣
Heaven Sent kwaya master
Extrovert daktari bingwa
financial services mwafunzi mtukutu wa CPA
Surbi mfanya biashara wa maji
sophy27 mfamasia
mawardat mfanya biashara
spidernyoka mtunza bustani wa shamba la nyoka
😀😀😀😀😀 nipo hapa naanda list ya wote
😀😀😀 umesema wewe mie sijasema hata kama afisa penetration au lahMe afisa kipenyo au 😂 ? Mbona kuna .....
utahesabiwa mala ya piliMimi nimelala kwenye kaya jana
Hahahaaa!nikianza taja wakazi wa kaya wataniatamani..
Wigelekelo VVIP escort 1
Post M-alone pilot
Saint Anne muhasibu
Antonnia mkemia
Shimba ya Buyenze mkufunzi
Lenie afisa .....:
Lizzy digitalist
Heaven Sent kwaya master
Extrovert daktari bingwa
financial services mwafunzi mtukutu wa CPA
Surbi mfanya biashara wa maji
sophy27 mfamasia
mawardat mfanya biashara
spidernyoka mtunza bustani wa shamba la nyoka
nipo hapa naanda list ya wote
🤣🤣🤣😀😀😀 umesema wewe mie sijasema hata kama afisa penetration au lah