Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hio kawaida, kuna jamaa kaenda kushiriki shindano la kubeba vyuma vizito, sasa chuma kimemshinda, muandishi anamuuliza shida nini, anasema anailaumu serikali tokana na bei ya vyakula kupanda...

Sababu zipo... Mngeshinda mngemtukuza Klopp..
Tungeshinda tusingemtukuza hata maana haya maajabu yapo livapuu tu
Roho imeniuma sana.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Lenie hatimaye mwezi mrefu umeisha.. nishatoka zangu kuswapa na list zangu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom