cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Vepeeeeeee????Oyaa
Vepeeeeeee????Oyaa
Ni mie kabisa huyu, u single kazi jomoneeee. Yaan hakuna hata mchumba wa uongo lol.![]()
Unazoea tu,unakuwa unaishi kiselaNi mie kabisa huyu, u single kazi jomoneeee. Yaan hakuna hata mchumba wa uongo lol.![]()
ameharibia uwanjan ajichanganye aende mgodin aangali hata muweke manula+gakolonya mntakula zakisneiper






khaaaaah wee.Uliolewa wapiVepeeeeeee????

Mnaumiaaaa mnoooo, poleeeeeehMzungu wa sensa amefunga goli la Mazoea kama NgosweView attachment 2329854
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






UsiniambieDuh
Nipo Tunduru hapa
Asubuhi tu nitakuwa hapo

SawA WigelekeloWigelekelo
Ahsanteeeee dear!!!Pole dear
I feel you




Ningekuwa na kaka ningekupa deaAhsanteeeee dear!!!
Nitafutie bas hata wa kunichezea tyuuh.
![]()
Bado itafika kipindi utaona kawaidaKisela.
Pia hainogi.
![]()

Dea, ntafutie bhana hata class mate wako.Ningekuwa na kaka ningekupa dea
Nakuombea upate soulmate .



Unatumia App??Ety me sipokei notification za jf shida inaweza kua nn
Nipo ndugu yangu msaga kunguni.Kipara ngoto
Bobezi la chama cha mboga
Mhamasishaji wa sensa kitaifa
Upo![]()
😂😂🚮🚮Hahaa
Sema kajiondolea pt3🤣
Ni mbalii lakini
Tulikua tunaenda shopping huko since wako na bei nzuri sometimes offer kama zote.
Nitakuulizia kwa mtu, anaweza kua na konekshen