Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1660870469306.jpg
 
😂😂 weee
Sishangai lakini… me soseji nazila sana,, na kuna rafiki angu hali soseji kabisaa

Yan sijui anapataga mawazo gani akiziona 🤣🤣


Pizza na uyoga mie siwezi kula 😂😂
Hiyo ya soseji umenikumbusha ndugu yangu flani alikua hajawah kuziona, hyo siku kaenda kwa babe wake akawa anatafuta kitu cha kula kupekua kwa fridge akakuta soseji akawa anazishangaa akasema ale tu hizo hizo maana njaa ilimkamata, akaing'ata akakutana na ladha mbayaa kumbe aliila mbichi🤣🤣🤣

Tangia siku hiyo ni akaichukia hali tena hata baada ya kuijulia vzuri
Nikitaka kumchokoza hua namkumbushia hiyo anajichekaa.
 
Hiyo ya soseji umenikumbusha ndugu yangu flani alikua hajawah kuziona, hyo siku kaenda kwa babe wake akawa anatafuta kitu cha kula kupekua kwa fridge akakuta soseji akawa anazishangaa akasema ale tu hizo hizo maana njaa ilimkamata, akaing'ata akakutana na ladha mbayaa kumbe aliila mbichi🤣🤣🤣

Tangia siku hiyo ni akaichukia hali tena hata baada ya kuijulia vzuri
Nikitaka kumchokoza hua namkumbushia hiyo anajichekaa.
Na huyo mtu ni wewe 😂😂😂

Sema sasa ilikuwaje ukala soseji mbichi? Ilikuwa mwaka gani? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom