Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
😁😁😁😁😁😁Fanya mapenzi na Mjep kitambi kitaisha
😁😁😁😁😁😁Fanya mapenzi na Mjep kitambi kitaisha
Hahahaaa, siwezi kukuacha mwenyekiti tutakuwa wote, Mimi na wewe tena!!❤️🩹💓Hustler one katibu usiniache pekeangu hapa asee awamu hii tunaondoka wote huniachiiiii🏃🏼♀️😌!!
Hii picha lol😁😁😁😁😁😁
Santo sana Katibu ushachukua likizo yako sasa ni zamu yangu au twaenda wote katibu wangu 😉😉 Make hii ofisi inaenda kunishinda katibu nime🙌🙌🙌🙌🙌🙌😉😉??Hahahaaa, siwezi kukuacha mwenyekiti tutakuwa wote, Mimi na wewe tena!!❤️🩹💓
Mimi simo Bosi Ledi....Hii picha lol
! 😂😂😂😂😂🤣🤣🤭🤭Ni kwamba haamini akionachoau haoni😂😂🤣😂🤣😂🤭🤭🤭???
Hio picha nimecheka walaiii selfika idumuuuu kwakweli!!✌️Mimi simo Bosi Ledi....
Mi najiburudisha tu hapa 😁😁😁
Mwenye zile pikipiki matail manne jeUkoo wetu hamna mwenye Gari![]()
Dadangu amefuta ila nimeiona. Anahitaji kula ugali, michembe na mabele maboboto (Wige atatafsiri) kila siku ili aongezeke angalau kidogo. Najua ni enzi za umodo lakini dah!![]()





Me nahisi twende wote maana wanakumendea hawa wajumbe!! 😂 , tutajadili mbele huko tuludi au laah!!Santo sana Katibu ushachukua likizo yako sasa ni zamu yangu au twaenda wote katibu wangu 😉😉 Make hii ofisi inaenda kunishinda katibu nime🙌🙌🙌🙌🙌🙌😉😉??
Mwaka huu unatunyoosha na kiuno cha nyiguNimepania kutokomezaa kitmbiiiiiiiii💃💃💃
Usisikize maneno ya humu sis humu kuna pipo pipo zinaongea mnooooooo!Antonnia ..... Watu humu wanamadharau sana.... Mwingine nae alinifuata pm akanambia ooh unajifanya kutuma mipicha ako kweny ule Uzi kwani unauza mbususu.... Watu humu Wana maneno sana........ Brother Shimba ya Buyenze unavosema sijui nile ni na nin me sitak kujua uliandika ukiwa serious au vp lkn sijapenda
Antonnia ..... Watu humu wanamadharau sana.... Mwingine nae alinifuata pm akanambia ooh unajifanya kutuma mipicha ako kweny ule Uzi kwani unauza mbususu.... Watu humu Wana maneno sana........ Brother Shimba ya Buyenze unavosema sijui nile ni na nin me sitak kujua uliandika ukiwa serious au vp lkn sijapenda
Kabisa Katibu hapa mie Hapana hapanaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!Me nahisi twende wote maana wanakumendea hawa wajumbe!! 😂 , tutajadili mbele huko tuludi au laah!!
Samahani bageshi.Antonnia ..... Watu humu wanamadharau sana.... Mwingine nae alinifuata pm akanambia ooh unajifanya kutuma mipicha ako kweny ule Uzi kwani unauza mbususu.... Watu humu Wana maneno sana........ Brother Shimba ya Buyenze unavosema sijui nile ni na nin me sitak kujua uliandika ukiwa serious au vp lkn sijapenda
Na w usinisemesheAlikuwa anatania umepanick

Samahani bageshi.
Sikuwa siriazi. Ugali na michembe na maziwa mgando. Mavyakula yetu huku Misungwi.
Nisamehe bageshi. Nimeshafuta na sitakutania tena.
Afadhali hata umesema maana ungeendelea kukaa kimya kumbe unaumia.





Pole sana sis!! Wapotezee tu kipenziNa w usinisemeshe![]()
Mwache ateme nyongo hasira zimuishe maisha yaendelee!Pole sana sis!! Wapotezee tu kipenzi