Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Yelewiiiii....
 
Back
Top Bottom