
Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo

Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo

Hasii na chanya tugandanee


Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi

Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa


Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii





Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena


Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa

Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi



