Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwa natamani kukuongelesha ile lugha yetu ya kimataifa lakini tena nikikumbuka kuwa we ni wa kishua wala huijui basi naishia tu kusononeka kimya kimya [emoji16][emoji16][emoji16]

Ūlīmhola? [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Naomba unifundishe Mkuuu tafadhali nakuomba[emoji847]
 
[emoji445]Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo[emoji444]
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo[emoji443]
Hasii na chanya tugandanee [emoji444][emoji445]
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo[emoji445]

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi[emoji445]
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa[emoji444][emoji445]
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii[emoji12][emoji12][emoji12][emoji15][emoji15]
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena[emoji445][emoji444]
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...[emoji445][emoji444]

Usiku mwema wapendwa [emoji3577][emoji8] Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi[emoji99][emoji42][emoji99][emoji99][emoji42]
Yelewiiiii.... [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji849]
 
Back
Top Bottom