Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Antonnia ..... Watu humu wanamadharau sana.... Mwingine nae alinifuata pm akanambia ooh unajifanya kutuma mipicha ako kweny ule Uzi kwani unauza mbususu.... Watu humu Wana maneno sana........ Brother Shimba ya Buyenze unavosema sijui nile ni na nin me sitak kujua uliandika ukiwa serious au vp lkn sijapenda
Pole,

Hebu kuwakomesha hao wenye madharau, tupia nyingine....
 
Kwamba selfika ni wauza mbususuu???😳😳😳😳😳
Possibly 🤷🤷🤷🤷
Mi naongelea nilichomkosea mpaka nikaomba na msamaha. Hata akinigombesha ni sawa maana nilimkera japo mi nilidhani ni utani.

Aliyemfuata PM kumwambia hayo maneno ya mbususu si anamjua mwenyewe? Mbona nawe unayaleta hapa tena?
 
Mi naongelea nilichomkosea mpaka nikaomba na msamaha. Hata akinigombesha ni sawa maana nilimkera japo mi nilidhani ni utani.

Aliyemfuata PM kumwambia hayo maneno ya mbususu si anamjua mwenyewe? Mbona nawe unayaleta hapa tena?
Jamani mie nimeota kwani??? Si kaniambia Lovelovie mwenyewe hapo juu ndio nikamshauri hapo nini mbaya??
 
Antonnia ..... Watu humu wanamadharau sana.... Mwingine nae alinifuata pm akanambia ooh unajifanya kutuma mipicha ako kweny ule Uzi kwani unauza mbususu.... Watu humu Wana maneno sana........ Brother Shimba ya Buyenze unavosema sijui nile ni na nin me sitak kujua uliandika ukiwa serious au vp lkn sijapenda
Lovie usijali bbygal 😌😌
Yaani katoto kanaposti picha kuchangamsha jukwaa mnasema kanauza mbususu 🤣🤣🤣🤣 acheni bhanaa mnazingua
 
Nishakusamehe brother Shimba
Asante sana bageshi.

Tuishi kwa amani na kupendana.

Tutakoseana yes maana mtu unaweza kujikosea hata ukiwa peke yako. Hili likitokea basi tusameheane kama inawezekana na maisha yanaendelea.

Ubarikiwe bageshi. Nimefurahi 🤸🏿🤸🏿🤸🏿🤸🏿
 
Back
Top Bottom