Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mzungu wa mchongo mchongomaHivi yule mzungu mmemtoa wapi?![]()
Mzungu wa mchongo mchongomaHivi yule mzungu mmemtoa wapi?![]()
Sijui netball ileHuyu mzungu leo amejua kunichekeshaaaandio alikua anacheza vinini
??
Nileteeeni mthunguuu
Kuna mtoto wa shangaz nitaftian walipoWananchi wenye nchi tumefanya yetu
Mayeleeeeeeee
Nina wasi wasi atakuja kucheza KONFUSijui netball ile
Amechanganya na kareti
Hakuna football pale
ANAZANIA HUKU TULUKAGA SALAKASI MUSUNGU
MamboAjiinyooongeeeeeeeeeeSijui wamejificha chaka gani bwahahahahahaa!!
![]()

Dalili za ukichaaNasema mwenye wivuuuuu ajiiiiView attachment 2323250
TobaUkomeeeeeeeeeee namie nakuongezea kenge nyieeeeeeeee!!

Unasikia raha mwwnyeweIlitakiwa liwe la tatu
La pili alitaka kufunga the same kama la kwanza
Bahati yenu mpira uliyumba.
SanaaaaUnasikia raha mwwnyewe
AiseeSanaaaa
Nimeĺala usingizi mzuuuuri
Mayele ni dawa ya makolo
Poa Wige! Huko Nishatoka kitambo!Mambo
Upo kule
Ama umechomoka![]()
Yani nilicheka hatariiii🤣🤣🤣!Sijui netball ile
Amechanganya na kareti
Hakuna football pale
😂😂😂Alileta vishkwambiHuyu mzungu naskia wanasema eti alileta vifaa vya sensa wao wakajua ni mchenzaji🤭😅😅
I haven't been in here for ages.! Wee Mirz Mie mbona nilisema humu! kwahio nani kakwambia???
Wapya humu ni wengi sana ujue!! Kwahio ushamjua??I haven't been in here for ages.
Kwakweli ni hatari. Sijaambiwa na mtu just nimeona tu mtu mpya![]()
Ntaachaje kumjua?? Ngoja nimwambie nimemjuaWapya humu ni wengi sana ujue!! Kwahio ushamjua??
Ntaachaje kumjua?? Ngoja nimwambie nimemjua






!! Habari za masiku mingi lakini!!