Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Ukipepesa hata kope tu utakuta unyoyaaaa!! HahaaSawa Mjep, kwahiyo nisioshe dishes kwanza nisubiri sio?
Ukipepesa hata kope tu utakuta unyoyaaaa!! HahaaSawa Mjep, kwahiyo nisioshe dishes kwanza nisubiri sio?
Jamaniiiii usisuse shoss anguu!! Natamani ningekua nasimu yako nikomae kukugombania ivoivoo na speed yangu ya konokonoSitaki hapaaaaa, km hataki kunipa aseme tyuuuh, asininyime kwa kuzuga, sitakiiiiiiii








!!!!Tulia wewe, ngoja kipigo bdae![]()






kwa team gan?? Utopolo?? Hauko serious!!! Yaaj leo sina pressure, lazima tuchukue ushindi.Jamaniiiii usisuse shoss anguu!! Natamani ningekua nasimu yako nikomae kukugombania ivoivoo na speed yangu ya konokono!!!!







nimecheka km chiziiiiii, watu wa halotel leo wanafaidi vocha tyuuh. Washindwe wao.Usipotee online tukwa team gan?? Utopolo?? Hauko serious!!! Yaaj leo sina pressure, lazima tuchukue ushindi.
Andika ngeli vizuri acha kufupisha 🤣Enx dear sis![]()
Tusubirie dakika 90 mjumbeee! Au ushabeti huko??😂Me nachojua leo machama yangu hayashindi yote
Nsipokandwa simba basi nyumbu lazima akandwe
Komaa nawe uwahi shos angu jamani usisuse shoss!!nimecheka km chiziiiiii, watu wa halotel leo wanafaidi vocha tyuuh. Washindwe wao.
Kwan ada unalipa wee??Andika ngeli vizuri acha kufupisha![]()






Hahaaaaaa!!Kwan ada unalipa wee??
Ngeli enyewe najibia pepa tyuuh. Kwan naiweza??
Khaaaaah
Bhana muambie boss wako anitumie vocha ya, 10k la, sivyo nawanunuia woteee. We haya tyuuh.Komaa nawe uwahi shos angu jamani usisuse shoss!!
Una raha hadi nakutamania jamani.Wee nyie candidates class mmewabakiza?? Mimi nina candidate class form 4 ila huwa sibakigi hata iweje pia Nashukuru nina likizo june mwaka huu si unajua ilisogezwa august!!
Sie wote wamefunga halafu shuleni kwetu ni moja ya kituo cha semina za sensa so huwa wanaenda wanafunzi wa zamu tu kufanya usafi!!
Siwezi anguka. Hapa nilikuwa naanza kusinzia ndio nawaza nishuke tu au nisubiri.!! Ulivo mtundu Madam najua huwezi kuanguka
![]()
🤣🤣😂😂 kwani mr vocha ameyeyukia wapi sasa??? Namie anisaidie voda nitest leo simu imekubali copy and paste banaa!!Siwezi anguka. Hapa nilikuwa naanza kusinzia ndio nawaza nishuke tu au nisubiri.
Twende kwa Mkapa dear.
Mr vocha kayeyea wapi tena Nina special request mimii!!
Dada upo mzima lknMr vocha kayeyea wapi tena Nina special request mimii!!