Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sitaki hapaaaaa, km hataki kunipa aseme tyuuuh, asininyime kwa kuzuga, sitakiiiiiiii
Jamaniiiii usisuse shoss anguu!! Natamani ningekua nasimu yako nikomae kukugombania ivoivoo na speed yangu ya konokono [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]!!!!
 
Jamaniiiii usisuse shoss anguu!! Natamani ningekua nasimu yako nikomae kukugombania ivoivoo na speed yangu ya konokono [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chiziiiiii, watu wa halotel leo wanafaidi vocha tyuuh. Washindwe wao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chiziiiiii, watu wa halotel leo wanafaidi vocha tyuuh. Washindwe wao.
Komaa nawe uwahi shos angu jamani usisuse shoss!!
 
Wee nyie candidates class mmewabakiza?? Mimi nina candidate class form 4 ila huwa sibakigi hata iweje pia Nashukuru nina likizo june mwaka huu si unajua ilisogezwa august!!
Sie wote wamefunga halafu shuleni kwetu ni moja ya kituo cha semina za sensa so huwa wanaenda wanafunzi wa zamu tu kufanya usafi!!
Una raha hadi nakutamania jamani.
Una siku nyingi sana za kukaa nyumbani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Ulivo mtundu Madam najua huwezi kuanguka[emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Siwezi anguka. Hapa nilikuwa naanza kusinzia ndio nawaza nishuke tu au nisubiri.
Twende kwa Mkapa dear.
 
Siwezi anguka. Hapa nilikuwa naanza kusinzia ndio nawaza nishuke tu au nisubiri.
Twende kwa Mkapa dear.
🤣🤣😂😂 kwani mr vocha ameyeyukia wapi sasa??? Namie anisaidie voda nitest leo simu imekubali copy and paste banaa!!

Lazima niende sitaki kusimuliwa kabisaa!!
 
Back
Top Bottom