Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee nyie candidates class mmewabakiza?? Mimi nina candidate class form 4 ila huwa sibakigi hata iweje pia Nashukuru nina likizo june mwaka huu si unajua ilisogezwa august!!
Sie wote wamefunga halafu shuleni kwetu ni moja ya kituo cha semina za sensa so huwa wanaenda wanafunzi wa zamu tu kufanya usafi!!
Una raha hadi nakutamania jamani.
Una siku nyingi sana za kukaa nyumbani
 
Siwezi anguka. Hapa nilikuwa naanza kusinzia ndio nawaza nishuke tu au nisubiri.
Twende kwa Mkapa dear.
🤣🤣😂😂 kwani mr vocha ameyeyukia wapi sasa??? Namie anisaidie voda nitest leo simu imekubali copy and paste banaa!!

Lazima niende sitaki kusimuliwa kabisaa!!
 
Back
Top Bottom