Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mimi nisikilizishe eti jamani
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]nili mind hiyo siku[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh sasa huyo atakuwa anaspeak ama anasqueak??
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.
Hachoshi kusikilizwa.

Basi siku yenyewe alinipigia nikamrekod anavonigombeza et 'B that's nout good'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mtu anakugombeza kama anakubembeleza. Basi akanifanya kila mara niwe nasikiliza mgombezo wangu.
 
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]nili mind hiyo siku[emoji23][emoji23]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila na we ni bhange unajua?? Kwahiyo ukawa unamuinjoi tu mwenzio?? Basi mie nilijua atakuwa ana sauti ya kawaida tu,.[emoji23][emoji23]
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.
Hachoshi kusikilizwa.

Basi siku yenyewe alinipigia nikamrekod anavonigombeza et 'B that's nout good'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mtu anakugombeza kama anakubembeleza. Basi akanifanya kila mara niwe nasikiliza mgombezo wangu.
 
Washa taa koroboi kukwepa ugomvi na malori , Macho yana night goggles

Game ON
IMG-20191025-WA0038.jpeg
 
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.
Hachoshi kusikilizwa.

Basi siku yenyewe alinipigia nikamrekod anavonigombeza et 'B that's nout good'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mtu anakugombeza kama anakubembeleza. Basi akanifanya kila mara niwe nasikiliza mgombezo wangu.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kwani mnaongelea nini?
 
Back
Top Bottom