Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485



na mimi nisikilizishe eti jamani
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?nili mind hiyo siku
![]()



na mimi nisikilizishe eti jamani
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?nili mind hiyo siku
![]()
Nikumbushe.
I am a bit high. Excuse my attitude
Maybe or maybe not...we all use fake IDs in here, except for those few who're verified
i know I am superfly. You cant tell me I aint fly
Hivi ili uwe verified ni lazima utumie real id au kuna vigezo gani vingine??
Karma knows Diasporausa is superflyYou know,, not me..
Real name...
Ukikua utajua mdogo wangu.What's the difference?
Karma knows Diasporausa is superfly
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.duuh sasa huyo atakuwa anaspeak ama anasqueak??




Ngoja nimpigie sasa hivi nimrecod. Nakutumia pmna mimi nisikilizishe eti jamani
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?nili mind hiyo siku
![]()













Legendari wa MMU huyo.Huwa nawasikia tu watu wanamtaja na wengine walienda mbali zaidi na kusema kuwa Lara1 ndiye Mange Kimambi sasa sijui kweli
Umetendwa?Nikumbushe.
I am a bit high. Excuse my attitude
na mimi nisikilizishe eti jamani






ila na we ni bhange unajua?? Kwahiyo ukawa unamuinjoi tu mwenzio?? Basi mie nilijua atakuwa ana sauti ya kawaida tu,.
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.
Hachoshi kusikilizwa.
Basi siku yenyewe alinipigia nikamrekod anavonigombeza et 'B that's nout good'
Yani mtu anakugombeza kama anakubembeleza. Basi akanifanya kila mara niwe nasikiliza mgombezo wangu.
Mbona mimi natumia real name hawaniverify?Real name...
Anaongea. Ungemsikiliza basi ungejua namaanisha nini.
Hachoshi kusikilizwa.
Basi siku yenyewe alinipigia nikamrekod anavonigombeza et 'B that's nout good'
Yani mtu anakugombeza kama anakubembeleza. Basi akanifanya kila mara niwe nasikiliza mgombezo wangu.





Aisee!!Ngoja nimpigie sasa hivi nimrecod. Nakutumia pm