Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Tutafahamiana, kujuana haiwezekani.Basi ipo siku tutajuana tu, dunia ndogo hii
All the more reason you should postHata wewe hauwezi niona
♂️
♂️Oohh nilikuwa sina hata simu
Tutafahamiana, kujuana haiwezekani.
Ya wema haioni ndani nakwambia.Kama ka Wema Sepetu??



mimi mgeni kabisa mkuu tarehe unaiona hapo kwenye details zangu ndiyo mara ya kwanza kujiunga rasmi JF sijawahi jiunga kabla ya hapo japo nilishawahi kuitumia huko nyuma kama guest tu
Huyu hajawahi kuwa chitchat, alikuwa MMU...
Ninyi mtakuwa wageni wenyeji ninyiiiii...hahah



unaogopa utatindinganya mambo?? Yaani JF hii hii unaweza ukatengeneza na unaweza ukaharibu pia!!
Ndiwoo.
Sitaki kuharibu Mambo hapa
mimi mgeni kabisa mkuu tarehe unaiona hapo kwenye details zangu ndiyo mara ya kwanza kujiunga rasmi JF sijawahi jiunga kabla ya hapo japo nilishawahi kuitumia huko nyuma kama guest tu
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?Hivyo vitu wanywa leo usinywe tenaaa!



nili mind hiyo siku

Ulijuaje hiyo ID umeitaja sasa?
the situation is continuousYou need to update 'the time'



duuh sasa huyo atakuwa anaspeak ama anasqueak??
Ya wema haioni ndani nakwambia.
Nikumbushe.Hivi kwani tunaongelea nini??
Should i trust this...uuunh maybe
Huwa nawasikia tu watu wanamtaja na wengine walienda mbali zaidi na kusema kuwa Lara1 ndiye Mange Kimambi sasa sijui kweli
i know I am superfly. You cant tell me I aint fly