Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukitaka nikuwache baki humu
Niwache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutafahamiana, kujuana haiwezekani.Basi ipo siku tutajuana tu, dunia ndogo hii
All the more reason you should postHata wewe hauwezi niona
Oohh nilikuwa sina hata simu
Tutafahamiana, kujuana haiwezekani.
Ya wema haioni ndani nakwambia.Kama ka Wema Sepetu??
Huyu hajawahi kuwa chitchat, alikuwa MMU...
Ninyi mtakuwa wageni wenyeji ninyiiiii...hahah
Ndiwoo.
Sitaki kuharibu Mambo hapa
[emoji2296][emoji2296][emoji23][emoji23]mimi mgeni kabisa mkuu tarehe unaiona hapo kwenye details zangu ndiyo mara ya kwanza kujiunga rasmi JF sijawahi jiunga kabla ya hapo japo nilishawahi kuitumia huko nyuma kama guest tu
All the more reason you should post
Nilimsikilizisha mtu eti akaniambia, kwahiyo dada yako ndio ana sauti nzuri hivo.. Sasa sijui alikuwa anamaanisha mimi nina mbaya?[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]nili mind hiyo siku[emoji23][emoji23]Hivyo vitu wanywa leo usinywe tenaaa!
Ulijuaje hiyo ID umeitaja sasa?
the situation is continuousYou need to update 'the time'
Ya wema haioni ndani nakwambia.
Nikumbushe.Hivi kwani tunaongelea nini??
Should i trust this...uuunh maybe
Huwa nawasikia tu watu wanamtaja na wengine walienda mbali zaidi na kusema kuwa Lara1 ndiye Mange Kimambi sasa sijui kweli
i know I am superfly. You cant tell me I aint fly[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]