Unakunywa nini mdogo wangu?




usinibadilishie mada. Mada ni kwanini una sauti tamu hivo?
Unakunywa nini mdogo wangu?




usinibadilishie mada. 


Dubai likakuponyoke kweli?? Wandali bhana!!
Limeniponyoka tu brother.
Usinifanyie hivyo
Hivyo vitu wanywa leo usinywe tenaaa!usinibadilishie mada.
Mada ni kwanini una sauti tamu hivo?
Enzi zipi kaka mbona mimi mgeni humu??
Mida hiyo atakuona nani banaa😁....zaidi ya Mimi😝ngumu bro
dada usinibadilishie topic.
Hivi kwanini wewe unakuwa mkubwa tuu lakini sauti haibadiliki?
Haki unakasauti kazuri nguja nianze kukaiga.
Hahah...inawezekana pia...
Usikute we ni King'asti
Naondoka.
Kwaherini
Au Lara1
7 to 9 years back
Ndiwoo.Unaondokaje sasa jamani?? Kwahiyo unaniacha humu peke yangu??
Sio kila mtu.
Mida hiyo atakuona nani banaa....zaidi ya Mimi
![]()