Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486



mmhh hapa umenipiga changa la macho
Ngoja nimpigie sasa hivi nimrecod. Nakutumia pm



mmhh hapa umenipiga changa la macho
Ngoja nimpigie sasa hivi nimrecod. Nakutumia pm
Sasa watajuaje kama unayotumia ni real name yako??
Legendari wa MMU huyo.
Ndio ukomemmhh hapa umenipiga changa la macho

Ukikua utajua mdogo wangu.
Mbona mimi natumia real name hawaniverify?
Kwani mnaongelea nini?
Ndio.hutaki nisikilize??



oohh sawa
Hahah una maswali wewe...
That one i dunno, sijawahi fuatilia...
Ndio ukome![]()
Kwani ukiwa kibabu ndio hauwezi kuwa mdogo wangu?Dooh!!! toka kibabu hadi kuwa mdogo ako![]()
Hebu kakojoe ulale we mtoto.
Ushahidi gani? Cheti cha kuzaliwa?We ndio waomba na unatuma ushahidi wako kuwa wewe ndiwe...
Hata mie siijui.Sauti ya Atoto
Hebu kakojoe ulale we mtoto.
Safi sana.Nimekoma mimi
Napenda makandeChai na makande afu nikalale zangu.View attachment 1255942
