Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
leo uweke bila kuziba surašMie huwa natuma kuanzia saa nane usiku,, so usilale stay tuned..
leo uweke bila kuziba surašMie huwa natuma kuanzia saa nane usiku,, so usilale stay tuned..
.Utafanya niku-delete kwenye simu yangu. Nani aliokwambia hapo Dubai???
Kuna kijana ameamua kujitoa kuhanga na sisi tunamshuhudia hapaView attachment 1255899



msamehe buree mndali huyooo


Utafanya niku-delete kwenye simu yangu. Nani aliokwambia hapo Dubai???
Dogo ndo umeamka?


dada usinibadilishie topic. Sawa Karma.Kwa kuwa umeongea wewe basi sina budi kuamini
Unakunywa nini mdogo wangu?dada usinibadilishie topic.
Hivi kwanini wewe unakuwa mkubwa tuu lakini sauti haibadiliki?
Haki unakasauti kazuri nguja nianze kukaiga.
Last time i checked I saw that
"Beautyful ones are not yet born."
Nimeanza nini mkuu
We ni mpenzi mtazamaji.
Hivi wewe hukuwahi pata ukaribisho wangu kule utambulisho enzi hizo?



She told me . Do you love me ?
I told her only partly . I only love my mom and my bed . I am sorry.......
Sio hawapo tena, ndio sisi sisi with new ids![]()