Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
[emoji482]
Kumekuchaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji482]View attachment 2314055
Ijumaa lazima kumwagilia moyo😅Kumekuchaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani huyu?Amesema akipata bundle atakuja Ila anawamic sana [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ugomvi wake Leo akiona sijui itakuaje [emoji2089][emoji2089][emoji2089]View attachment 2314083
Utakatwa makengeleAmesema akipata bundle atakuja Ila anawamic sana [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ugomvi wake Leo akiona sijui itakuaje [emoji2089][emoji2089][emoji2089]View attachment 2314083
Nawekaga hapa vocha,Nitumie vocha [emoji41]
Unataka kuniambia kile chakula ni robo kilo[emoji23]Hivi kuna Wanawake wanakula sana kuliko Wanaume? Wewe utakuwa wa kwanza kumaliza robo kilo peke yako [emoji2957][emoji125][emoji125][emoji125]
Vocha hizi bhana kuna watu zinawatoa imani,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namtag aisehAmesema akipata bundle atakuja Ila anawamic sana [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ugomvi wake Leo akiona sijui itakuaje [emoji2089][emoji2089][emoji2089]View attachment 2314083
Pedeshee mukubwa sana huyu alini bless vocha ya 5000 ubarikiwe sana shemeji kwa nanii [emoji39][emoji39]Nani huyu?
Ujambo dogoNamtag aiseh
Nani mdogo wako embu niamkie hukoNawekaga hapa vocha,
Siku nikiweka,ukiwepo utapata Mdogo wangu,
Kuwa na subra
Ndyo ma nn hayoUtakatwa makengele
Ndiyo maana mkija Kijijini likizo kunisalimia lazima niwape jembe msaidie kulima, manake sio Kwa ulaji huo 🤪🤪Unataka kuniambia kile chakula ni robo kilo[emoji23]
Sawa bhana nishindwe kumaliza wali robo kilo labda sio mie[emoji41][emoji125][emoji2535][emoji2382]
😁😁😁😁 Nimecheka sana wewe dogo By the way Kila mmoja na kiwango chake cha uvumilivu/ subra ! Hatufanani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakeleka mwenzio bora angepata mwana haswa wa selfika vocha kaidaka mtu wa jukwaa la mahusiano [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila wanawake basi tu