Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Sana 😊Pazuriii.
Siku ukija Zanzibar inabidi ufike hapa Karafuu Coffee House.
Sana 😊Pazuriii.
Kamlete na bosi ledi naona taratibu mmeanza kurudi!! Vocha nimechelewa kakaa!!
Ntakuja mwenyeji, [emoji8][emoji8][emoji8]Sana [emoji4]
Siku ukija Zanzibar inabidi ufike hapa Karafuu Coffee House.
Asante mkuu
Ngoja nifanye logistic za kumpeleka 😂Didi akeee Depal View attachment 2313995
Ukiona mwanamke anamkiss mwanaume Kuna kitu kizito kichwani kinaenda kutuaWarmly welcome Mr vocha, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mic u moaaaaah!!! Tubariki na selfies zako.
[emoji178][emoji178][emoji178][emoji178]
Tajir mwenye hisa CRDB most welcome vp ujeruman wanasemaje huko tajir wa Kwanza kuwa na TV inc 300Ndugu zangu mpoooo?
Nashukuru tajir kwa kunikumbuka Ila alaaniwe aliyechukua vocha ya halotel [emoji34][emoji34][emoji34][emoji26][emoji26]
Watu mnamwaga laana kisa vocha[emoji23][emoji23][emoji23]Nashukuru tajir kwa kunikumbuka Ila alaaniwe aliyechukua vocha ya halotel [emoji34][emoji34][emoji34][emoji26][emoji26]
🤣🤣🤣Watu mnamwaga laana kisa vocha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa ni yako pekee ungeletewa pm,
Embu kuweni na subra bhana mkikosa vocha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakeleka mwenzio bora angepata mwana haswa wa selfika vocha kaidaka mtu wa jukwaa la mahusiano [emoji2089][emoji2089][emoji2089]Watu mnamwaga laana kisa vocha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa ni yako pekee ungeletewa pm,
Embu kuweni na subra bhana mkikosa vocha.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tajir mwenye hisa CRDB most welcome vp ujeruman wanasemaje huko tajir wa Kwanza kuwa na TV inc 300
Nitakusindikiza didi ake🤣Ngoja nifanye logistic za kumpeleka 😂
Kuwa mpole tu,,wengine hawapo selfika wa huko kwenye mahusiano na wanadaka vocha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakeleka mwenzio bora angepata mwana haswa wa selfika vocha kaidaka mtu wa jukwaa la mahusiano [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
reymage upo ww mwanamke wa pekee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nitumie vocha [emoji41]Kuwa mpole tu,,wengine hawapo selfika wa huko kwenye mahusiano na wanadaka vocha
Hii ni bahati nasibu.
Hivi kuna Wanawake wanakula sana kuliko Wanaume? Wewe utakuwa wa kwanza kumaliza robo kilo peke yako 🤪🏃🏃🏃Nicheke kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sishibi hapo[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mchokozi sana khaaah.Ukiona mwanamke anamkiss mwanaume Kuna kitu kizito kichwani kinaenda kutua
Vocha tyme [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu mnamwaga laana kisa vocha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa ni yako pekee ungeletewa pm,
Embu kuweni na subra bhana mkikosa vocha.