Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
imbeni mie ntawachezea tyuuu!!Boss lady leo panachimbika hapa🤣🤣🤣
imbeni mie ntawachezea tyuuu!!Boss lady leo panachimbika hapa🤣🤣🤣
Safiii jirani,..Niwekee wimbooooooo niyarudiiiiii mie ! Mie na act sina manenoo mengiiii!!
cocastic naenda kurara mie !
kesho utanipa report!!
Aiseeee😍😍Niwekee wimbooooooo niyarudiiiiii mie ! Mie na act sina manenoo mengiiii!!
cocastic naenda kurara mie !
kesho utanipa report!!
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Aiseeee😍😍
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ngoja namie nijaribu kuimba shoss Yangu naona leo hapatoshi hapa!!
Nnaemuimbia anajijua mwenyeweeee!!




imba mama, imbaaaaa!!!!WilldadyHawa jamaa wataam mno
Kuna ule ameimba nani sijui,akawashirikisha.
Ule wimbo niliupenda.
You just let me know
You just let me know
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
MhhImbeniii mie nachezaaaaa!!!
Boss lady hadi verse zimeyeyuka 😍😍Imbeniii mie nachezaaaaa!!!
Safiiiii...Imbeniii mie nachezaaaaa!!!
Kati vita yesu mwamba wanguuu
Katiii huzuni yesu ni mfarijiiii
Aliingiia moyoni mwangu kanipa utulivuuuu
Kaniambia ewe mwanangu usiliee tenaaa
Ninajua shida zako mimi nitazitatuaaaaaa
Biiiilllaaaa yesuuuuuu Mimi ni mtu bureee
One and only Jesus!
![]()






umechachuka vibayaa wee, khaaaah.Mtoto trakoooooooo, kitu trakooooooooImbeniii mie nachezaaaaa!!!
Waamemaliza kuimba au bado??Mtoto trakoooooooo, kitu trakoooooooo
Aririiiiiiih, ukilislape linalia pah pah pah.
Weraaaaaaaaaaaaah!!!!
😂😂😂😂😂😂!!! Nifundishe kuimba namie niwe naimbia watu shosssss!!!umechachuka vibayaa wee, khaaaah.
JehovaaaaaNa hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
![]()


AbeeeeDadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.
.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha
I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety
I do I do I do I do I do
I do baby
Dayna Nyange
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app