cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,168
Leo nipo hapaaaa kusoma dediees za love songs.



Leo nipo hapaaaa kusoma dediees za love songs.



Mzee baba mzee wa BariadiHahaha....We jamaa bhana
Weraaaaaaaaaaaah!!!!!!!Dadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.
.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha
I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety
I do I do I do I do I do
I do baby
Dayna Nyange
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







Mimi siyo fan wake..Zuchu ana maneno.
"Mbna badoo, na presha zitawashuka na kupanda
Tena deka, we shaukwa baby tambaaaa"
Nachekaga hapo tyuuh.
Naomba nisubirie tuongozane kipenzi 🏃🏃
Wapambe tusiwakubali





Akipigilia na kepu yake weuwee cuzoookhaaah!! Wee

Dadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.
.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha
I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety
I do I do I do I do I do
I do baby
Dayna Nyange
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wai Wai Wai Wai....namuwai naniii hapo ndichiN
Naomba nisubirie tuongozane kipenzi![]()
Nafika hapo dakika sifuriiiii!! Usiniachee🏃Wai Wai Wai Wai....namuwai naniii hapo ndichi
Hata mie sio fan wake na ni hater mkubwa wa WCB, kuna fwansi wao chuoni wanasemaga nisipokua mchawi basi mgangaMimi siyo fan wake..
Nyimbo zake hata sizijui.
Ila hicho kipande kilinivutia sana..nilikisia kwenye bus juzi kati hapo nilisafiri.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







Umeamkajehaya sawa

Rudi hapa wewe dogo🤣🤣🤣
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam
Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia![]()




Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam
Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia![]()







leo ntajikolea hapa nilipokaa, sio kwa kucheka hivi, hadi kibofu kinalegea khaaaaah.Kumekuchaaaaaaa!!!!!!You're sweet like pipi mamaa
I can fight
I can kill someone
For you
Because am in danger zone (oh no)
This feeling feeling that am feeling
It's too much
I see future, life with you is so brighter
Nakupenda sana, you know that
I'll die for you
Ooh sweet heart, life with you is so sweeter
Nakupenda sana, you know that
Nakupenda sana, you know that
Yeah
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Cc: Antonnia








And I'm loving you my beibeeBaada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam
Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia![]()







