Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.



.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha

I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety

I do I do I do I do I do
I do baby

Dayna Nyange

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Weraaaaaaaaaaaah!!!!!!!
 
Acha upambe basi mlongo
Ebu kaa pembeni kwa kutulia utuachie hii ligi na Saint Anne
Wapambe tusiwakubali
Mimi nawe tushikamane
Tusisikilize uzushi
Nia yao tufarakane
Baba mtumishi wangu mwanaume na nusu
Nataka tufunge ndoa
Nikuzalie na Wana
Nananana.....

Old is gold

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Dadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.



.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha

I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety

I do I do I do I do I do
I do baby

Dayna Nyange

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam

🎶🎶🎶🎸🎺🎼🎼🎼
Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia😁😁😁
 
Mimi siyo fan wake..
Nyimbo zake hata sizijui.
Ila hicho kipande kilinivutia sana..nilikisia kwenye bus juzi kati hapo nilisafiri.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hata mie sio fan wake na ni hater mkubwa wa WCB, kuna fwansi wao chuoni wanasemaga nisipokua mchawi basi mganga

 
You're sweet like pipi mamaa
I can fight
I can kill someone
For you
Because am in danger zone (oh no)
This feeling feeling that am feeling
It's too much
I see future, life with you is so brighter
Nakupenda sana, you know that
I'll die for you
Ooh sweet heart, life with you is so sweeter
Nakupenda sana, you know that
Nakupenda sana, you know that
Yeah
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Cc: Antonnia
 
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam


Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia
 
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam


Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia
leo ntajikolea hapa nilipokaa, sio kwa kucheka hivi, hadi kibofu kinalegea khaaaaah.
 
You're sweet like pipi mamaa
I can fight
I can kill someone
For you
Because am in danger zone (oh no)
This feeling feeling that am feeling
It's too much
I see future, life with you is so brighter
Nakupenda sana, you know that
I'll die for you
Ooh sweet heart, life with you is so sweeter
Nakupenda sana, you know that
Nakupenda sana, you know that
Yeah
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Cc: Antonnia
Kumekuchaaaaaaa!!!!!!
 
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tamtam kama pipi
Nakuita sweety, ah roterote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shepu vipi? kama lote
Vicheche nishadelete
Sitaki cheat, watoketoke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndIo dereva, asa kukuacha ooh oooh!
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mimi apa
Naanzaje? Mwenzako ooh kukuacha siwezi
Naanzaje? Ooh mimi
Naanzaje? Aah mi jamani
Naanzaje? kukuacha ooh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishanshuda poleni ooh, mnalo wambea
Mtaja kuugua makwasha koo, kwa kutuongelea
Tena mie kwake ndio dakitari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba aam!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Atuepushe madhohari, ya wanadam


Kazi kwako mdogo wangu leo hutoboi nakwambia
And I'm loving you my beibee
Nishakuweka moyoni

Nikiwa na weee
I'm feeling the meaning of true love
I feel you my beibee

Wangu mwandani
Mapenzi matamu nayatamani
Mpenzi jamani


Navy kenzo

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom