cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,148
Selfika mchezoooo, Mr vocha ashaya vagaaa,Selfika Mmenishinda tabia!
Mshamuhaaribu mr Vocha!!
Siwasweziiiii!






Selfika mchezoooo, Mr vocha ashaya vagaaa,Selfika Mmenishinda tabia!
Mshamuhaaribu mr Vocha!!
Siwasweziiiii!






Nawewe weka anaemwaga hapo patamu shosss kisha nami nawawekea mrashiaaaa!! !! Unanijua sinaga mbambambaa si ndio???Yes unamwaga patamuuu mkuu.
Mie kwema tyuuh.





ndo maana mbishi, ila asiwe chawa, maana waha kwa uchawa ndo wao tena pro max.ZuchuMoyo wangu tembea na yule
Na yuleee
Ndio nampendaga
Macho yangu mtazame yulee
Mtazame yulee
Namwamini sana.
Ah ah ahhhh
Kuna muda
Namuomba Mola angekuleta mapema
Ila bado siyo mbaya
Wewe ndiye unayejua maumivu yanguu
Siko radhi unitoke machonii
Nitakuweka moyoniiiii..
........
Haya shusha verse nikulipe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Nataka nipite naked na mrashia mpoooo??Selfika mchezoooo, Mr vocha ashaya vagaaa,![]()
Sasa, mie wangu unae wee huko, ningemuweka hapa, ngoja arudi likizo.Nawewe weka anaemwaga hapo patamu shosss kisha nami nawawekea mrashiaaaa!! !! Unanijua sinaga mbambambaa si ndio???




Nipooooooh, pita name hapaNataka nipite naked na mrashia mpoooo??






Cuzo wa Coca ametokelezeaaando maana mbishi, ila asiwe chawa, maana waha kwa uchawa ndo wao tena pro max.
kutoka pande hizo.Hahahhahahahha!! Hapo basiiii tusubirie Hb arudi usintanieeee!!!Sasa, mie wangu unae wee huko, ningemuweka hapa, ngoja arudi likizo.![]()
Moyo wangu tembea na yule
Na yuleee
Ndio nampendaga
Macho yangu mtazame yulee
Mtazame yulee
Namwamini sana.
Ah ah ahhhh
Kuna muda
Namuomba Mola angekuleta mapema
Ila bado siyo mbaya
Wewe ndiye unayejua maumivu yanguu
Siko radhi unitoke machonii
Nitakuweka moyoniiiii..
........
Haya shusha verse nikulipe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





khaaah!! WeeHuo ameimba Rubi.Zuchu
Umekuja![]()



Kumekuchaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
![]()









Hahaha....We jamaa bhanaNa hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
![]()
Kigulu nyanyuaHuo ameimba Rubi.
Achana na yule wa taarabu.
Ila kuna kipande cha wimbo wake nakipenda
Unanipenda Mii
Mmhu
Unanitaka pia
Unaniamini
Na umeniridhia
Mnasubiri tuachane
Mtasubiri sanaaaaa
Chukueni viti mkae
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Huo ameimba Rubi.
Achana na yule wa taarabu.
Ila kuna kipande cha wimbo wake nakipenda
Unanipenda Mii
Mmhu
Unanitaka pia
Unaniamini
Na umeniridhia
Mnasubiri tuachane
Mtasubiri sanaaaaa
Chukueni viti mkae
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




Zuchu ana maneno. Acha upambe basi mlongoKumekuchaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
Selfika hoyeeeeeeeee!!!!!!! Mr vocha leo kawa msaniii.
DadeqNa hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
![]()


King Kiba.

