Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Moyo wangu tembea na yule
Na yuleee
Ndio nampendaga

Macho yangu mtazame yulee
Mtazame yulee
Namwamini sana.


Ah ah ahhhh
Kuna muda
Namuomba Mola angekuleta mapema
Ila bado siyo mbaya
Wewe ndiye unayejua maumivu yanguu

Siko radhi unitoke machonii
Nitakuweka moyoniiiii..
........

Haya shusha verse nikulipe

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Zuchu

Umekuja
 
Moyo wangu tembea na yule
Na yuleee
Ndio nampendaga

Macho yangu mtazame yulee
Mtazame yulee
Namwamini sana.


Ah ah ahhhh
Kuna muda
Namuomba Mola angekuleta mapema
Ila bado siyo mbaya
Wewe ndiye unayejua maumivu yanguu

Siko radhi unitoke machonii
Nitakuweka moyoniiiii..
........

Haya shusha verse nikulipe

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
🎺🎼🎵
 
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
Kumekuchaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
Selfika hoyeeeeeeeee!!!!!!! Mr vocha leo kawa msaniii.
 
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
Hahaha....We jamaa bhana
 
Huo ameimba Rubi.
Achana na yule wa taarabu.

Ila kuna kipande cha wimbo wake nakipenda

Unanipenda Mii
Mmhu
Unanitaka pia
Unaniamini
Na umeniridhia

Mnasubiri tuachane
Mtasubiri sanaaaaa
Chukueni viti mkae

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Zuchu ana maneno.

"Mbna badoo, na presha zitawashuka na kupanda
Tena deka, we shaukwa baby tambaaaa"


Nachekaga hapo tyuuh.
 
Na hakuna kipya kwenye dunia
Oh my love
Na ndio maana tamaa nazizuia
Oh my love
Natupa maelfu kwa mamia
In this world
Ila we pekee nimekuchagua
I swear to God
Na umebarikiwa
Utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Licha ya upole na uzuri
Una utu na utulivu
Umebarikiwa
Utu na utulivu
Ohooo
Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Ananikanda huku mabegani
Ananishika na hapa
Masage mgongoni
Yananilevya makopa
Dadeq
Haya mashairi alinipa mtuKing Kiba.



.....
Unanipa raha
Mpenzi wangu nahisi raha
Raha raha
Najihisi mwenye furaha

I see it beibee
Love on your face
When you kiss me I feel so sweety

I do I do I do I do I do
I do baby

Dayna Nyange

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom