Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Babu la mchongo
Big Boy kazini
Apite zake hivi


Babu la mchongo


Weeeeee kumbe!!! Lol!!🤔🤔🤔🤔! Ngoja nimsubiri mjeda arudi sasa! Atakuta uso umekua kama fenesi yelewiiiii😉😉!!Dawa yake kupaka
Maji ya mzagamuo usoni
Unamaliza tatizo chap
Hhahahah!!! Nishakula chumvi nyingi mie mamdo !! Enjoy na vibintiiiii ndio mtafurahia maishaaaa!!😉Mm mtoto ww mwanamkeKuna kitu nikikupea huta niita tena mtoto
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ulienda kukadiriwa kodi eeh

Mm napendaga mamama wenye mizigo Yao walio jazia wenye nyama nyama ukimpakia vumbi anakuhonga mpka binti yakeHhahahah!!! Nishakula chumvi nyingi mie mamdo !! Enjoy na vibintiiiii ndio mtafurahia maishaaaa!!![]()
Pepo tokaaaaaaaaaa!!👈👈👈👈!Mm napendaga mamama wenye mizigo Yao walio jazia wenye nyama nyama ukimpakia vumbi anakuhonga mpka binti yake
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Nimebaki na mshangao![]()
Ulivyokua mbabe hivyo, hayo machozi yanatokea wapi
Samahani nilichelewa, uliweka ya before and after?!! Nimeishaaaaa nimechujaaaaaa!!! Mtu akiniona Saivi ananipita hanitaambui mbona
![]()
Boss Tajiri katekwa na Antonnia naona una mshushia mashairi mtoto mzur AntonniaDereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu (Talalala)
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu (Talalala)
Huba tulisosomole
Chuzi kwa matandu (Talalala)
Nile bungo kwa kidole
Mambo chambu chambu
![]()
Mtoto Antonnia namshushia mashairi lkn ananimwaga wallah ntakufa mie chiefBoss Tajiri katekwa na Antonnia naona una mshushia mashairi mtoto mzur Antonnia
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
No commentsasa ukiwa hujanyamaza si feelings zinakuwa hazijafa… kurewind inakuwa easy sana
Kesho ni Leo Heaven Sent eagerly awaiting!
Niliweka zote mkuuu!! Tena niliweka nyingiii😜Samahani nilichelewa, uliweka ya before and after?
Kaka Mkubwa Wigelekelo za siku mingiNo comment
Usimwambie babu yangu hivyo😂Babu la mchongo
Big Boy kazini
Apite zake hivi![]()
Tafadhari kwa ajili yangu naomba urudieNiliweka zote mkuuu!! Tena niliweka nyingiii![]()