Kiuno kanavyokikata jeNguo alizovaa je![]()
Sheeeeendwaaaaaaahh Kijana sheeeeendwaaaaaaahh!!! Pepo trokaaaaaaa!!👈👈👈!!!
Chepuka mara mojaWeeeeee kumbe!!! Lol!!! Ngoja nimsubiri mjeda arudi sasa! Atakuta uso umekua kama fenesi yelewiiiii
!!
Huyu AlaynaDereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu (Talalala)
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu (Talalala)
Huba tulisosomole
Chuzi kwa matandu (Talalala)
Nile bungo kwa kidole
Mambo chambu chambu
![]()
Mshushie mashairi mshike shike kimahaba anapenda sana kushikwa kiunoni huku unamlamba shingo hawezi chomokaMtoto Antonnia namshushia mashairi lkn ananimwaga wallah ntakufa mie chief
Na akukomeUsimwambie babu yangu hivyo![]()
We ndio utukomeNa akukome
Mbona Kupatwa kwa mr vochaa walai! Aririririririiiiiiiiiii cocastic Sitaki kukusimulia shoss njoo ushuhudie mwenyewee hukuuuuu!!Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu (Talalala)
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu (Talalala)
Huba tulisosomole
Chuzi kwa matandu (Talalala)
Nile bungo kwa kidole
Mambo chambu chambu
🎼🎼🎸🎶🎶🎺🎵🎵
Kaa kwa kutuliaWe ndio utukome
Hii tunaijua 🙈 weka new pic
Emu selfika dark tall and handsomeKaa kwa kutulia
Chepuka mara moja
Ili nigundue nini wige!!😉😉🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!!Chepuka mara moja
Mida yetu mkuu usiwaze!!Tafadhari kwa ajili yangu naomba urudie







aahh....Wapi nduguEmu tuone venye umekuwa mupipanimenenepa Kama dumu bestie