cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
MB's zitakata kabla sijakojoa, labda kama kuna suggestion nyingine huko.






khaaaah.MB's zitakata kabla sijakojoa, labda kama kuna suggestion nyingine huko.






khaaaah.Ngoja niwekeee hapa.
Weee brand kubwaa shosss anguuu!! Watu wanataka kusafiria nyota yakooi kama yule wa kusafiria ya Yoga kule telegram!!Nyie kumbe Twitter kuna mtu anatumia jina language hili la JF.
sasa yeye kaweka hivi.
Cocastic_zungu. leo bhanaa ktk kupuyangaa si nkakuta ktk comments, kwanza nilicheka
Khaaaaah kumbe mie brand. Afu sijijui. Nkaamua kumfata DM kumdodosa eti anasema hilo jina katoa ktk mtandao m1 hivi, kutaja hataki, nkaamuambia umechukua JF eeh? Wacha aanze kujifaragua, nilicheka leo khaaaah.
![]()
Wakati huo hata sijui kama kuna kitu kinaitwa Jf😄.Umenitangulia kidogo vidato, Enzi hizo simu yangu ya kuingilia humu ilikuwa Samsung Galaxy pocket.
Naomba nione ulivyo kwa Sasa AntonniaHahahaaa... alikuwekea shuntama huyoooo ! nshomiles kwa shuntama ni hatariiii!!! Enzi hizo chuo field nilikua bado badooo nimo nimoo nilikua na mtrakoo uwiiiii!!! Maisha hayaa Jamaniiiii!!!!
Shikamoo Ukubwa!
Sasa nshomiles wanavopenda kartexxx ulitoboa kweli!!
Hilo la wanyaki Heaven Sent anaweza kutusaidiaAnasubiri umuite Nkamu ndo atume😂.
Hivi hilo jina huwa mnaitana humu, origin yake ni nini??
Anasubiri umuite Nkamu ndo atume.
Hivi hilo jina huwa mnaitana humu, origin yake ni nini??





mie sio nkamuu. Hahaha😁mie sio nkamuu.
Mie mlongo.
Kabisaaaah,Weee brand kubwaa shosss anguuu!! Watu wanataka kusafiria nyota yakooi kama yule wa kusafiria ya Yoga kule telegram!!







Na wanavopenda hizo mambo sasa uwiiii ni wanapenda hadi basi!! Alikua anakupikia matoke na ebinyobwa???😂?? Matoke mixa samaki humohumo maharage ntongo????? Hahahaaa...watoto haeajalala
, Hiyo unaitwa water falls. Safari alifika Ila nilikuwa natamani field iishe nipotee.ila Shughuri nilifanya
Field wapi mdogo wangu?
Matoke si ndizi jaman?Na wanavopenda hizo mambo sasa uwiiii ni wanapenda hadi basi!! Alikua anakupikia matoke na ebinyobwa????? Matoke mixa samaki humohumo maharage ntongo????? Hahahaaa...
Mbeya.Field wapi mdogo wangu?
Kwa kweli Mungu ambariki mgunduzi wa filters. Sasa hivi harara na chunusi kwishney: tuonane kwenye real lifeFilters zinawaongezea Confidence sis. Si unaona makeup mnazopaka foundation mpaka 4 zote Ni filters in real life


Ndio... huo mchanganyiko wake nuksiiiii!! La ni mtramu kweli mpaka ukiuzoea lakini!! Kuna jinsi wanazipikaMatoke si ndizi jaman?
Ndio home huko?Mbeya.