Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

shougaaaaaah usinitafute maneno, tafadhari!!!
Ndo umenichoka kiasi hiki??? Hebu huko mie namtaka HB wangu.

Msafi, smart, braniac, aririiiiiiiiii, nileteee puliiiiz.

Huyu mlinzi baki nae wee, mpe na bunduki hiyo alinde vyedi.


Shougaaaaah nimechekaaaa, hivi kwan makamanda na viongozi wa ulinzi na usalama wa shule wanakuaga wabayaa, afu sura gudu, woiiiiiiih.

Sitakiiiii, nileteee HB wangu.
hahahahahah!!! Mbavuuuuu zangu shosss!!
Akuh mie nna ulinzi wangu salama salmini kabisa na Bastola juuu!!!!
 
Hilo jicho Anko...
Nadhani inatokana na kubadilisha badilisha mafuta. Uzoefu nimeupata kwa shangazi yako...
Nimesha muambia akirudia kubadilisha badilisha mafuta namrudisha Usukumani akapake samli
!!
Usiwaze Hatobadili tena ankoo saivi ngozi yake imekua softiiiiii hadi raha nahuo weupe Aririiiiiii!
Amenougaaa hatariiii!! Nitakupa mrejesho Ankoli
 
IMG_20220726_113330_742.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom