Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,355
- 176,159
Rudi espy, hebu andikia invizibo au modereta rait nau...






Kuna mtu aliwahi kuniambia nilivyokuwa espy nilikuwa kakorofii, sasa which is which



Rudi espy, hebu andikia invizibo au modereta rait nau...









Kijiwe chetu cha soga hiki, utuwache.
Asante Mshana Jr
Sema suuuuu, niufukue na ule uzi mama.
Yaani, kila nikiingia naiona.
Halafu naikuta imeenda page 50+.






Weeeeeh!! Hakuna watu wapole dunia hii kama wajaluo.
Bhikukalala ni lugha gani?Mmhh nasikia hao bhikukalala balaa yaani
We ukija unaanzia mwisho then unaendelea.
Atawezea wapi; hakawii kuanguka



Nilimshushua pm
Ananisingizia huyo![]()
Bifu tena?!!!!!!!!Ndiyo shida sasa, unajikuta huwezi kuunga stories maana yaiyopita yanakuwa ni mengi.
All in all, ni moja ya thread zimepunguza bifu JF.
Ashukuriwe mlozi mkuu wa JF Mshana.



Kaone vile!Atawezea wapi; hakawii kuanguka
Wanyakyusa.
Yeap sema na yeye alizingua anasema eti labda alikosa swaga nzuri nikamuambia weee yule haingiliki kizembe nikajikuta na mimi nakujua nikaanza kumuelezea uongo na ukweli kuhusu wewe![]()





We fanya kazi mama maana asiefanya kazi na asile. Sie ndio muda wetu wa soga huu.
Wanyakyusa ni changamoto.