Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,350
- 176,152
Sijui nikufukulie ule uzi![]()
Kwahiyo unanifahamu tangu mwanzo?Trust mimi hapa, i have been around here since 2006



Trust mimi hapa, i have been around here since 2006
Kweli kabisa aisee hebu ongeeni ninyi labda atawaelewa yeye kashikilia kwamba hilo atoto ndiyo kaanza nalo wakati espy ndiyo zuri,, kwangu mimi lakini maana maoni yangu siyo sheria ila daah ingekuwa amri yangu....





Mafurushi lilianzia kwenye espy ujueHata Saint anne ndivyo anavyosema,, ila mimi naona ulivyokuwa espy ndiyo ulikuwa mpole 'waifu matirio' ulikuwa haushushui mafurushi kabisa..



Ikimaanisha?kinyakyusa
Nishakutumia.Basi nitumie kule nione
Umeona eenh?? Ambao hawakuwahi kufunguka nao wamefunguka na Mshana amesema bado safari hii akiingia kilingeni akitoka watu wataanza kutuma picha zao full humu kuanzia sura hadi miguu!!
Ni wivu tu![]()
Mafurushi lilianzia kwenye espy ujue![]()
Wanaume walooa wanyakyusa wanatoa shuhuda wanavyokula mabanzi.Uzi gani huo??

Ikimaanisha?
Nishakutumia.
Mie nataka hicho cha usiku cha kwanza.Karibuni cha usiku halafu baadae tule cha usiku View attachment 1255842
Yaani, nimejikuta kuwapenda wote mnaoshiriki kwenye huu uzi.