Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246










Si unaona comments anazojibu?
Za mwaka juzi!!!![]()
Ifute.
Nataka nicheke mm![]()
Leo analikana
Mmmh...Hivi bongo kuna kabila wanawake wanatoa kichapo kwa wanaume?
We fanya kazi mama maana asiefanya kazi na asile. Sie ndio muda wetu wa soga huu.
Haki nimecheka kwa nguvu hadi watu wamenishangaa,, tatizo nacomment huku kuna kazi nafanya ndiyo maana napitwa..
Sasa naona utakuwa umeridhika mama.daah
Oohh kama hii ya kwetu 'esijiara'??



hivi na wewe nawe unaongea kuhusu makabila kweli??
Hembu futa ashangae kidogo
Maana wanyakyusa wanazubaaga Sana![]()
Khaaah!! Hawa ndugu zako wameniharibu maana nilikuwa nikishusha wananishangaa na kuniuliza "hivi mwalimu wewe mtu wa wapi?" Nikaona isiwe taabu, imebaki nalishushaga home tu.
Unajua ilianza atoto, nikabadili to espy then nikarudia atoto tena. Sijawahi kuona mabadiliko ujue![]()
Nataka nione macho yanavyomtoka
Ifute ashangazwe![]()