Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486



acha hizo asee pm umenikataza nisije halafu ndiyo unanifanyia hivi kweli?? Ila pm siji maana nisije nikashushuliwa na mimi!!
Sasa naona utakuwa umeridhika mama.



acha hizo asee pm umenikataza nisije halafu ndiyo unanifanyia hivi kweli?? Ila pm siji maana nisije nikashushuliwa na mimi!!
Sasa naona utakuwa umeridhika mama.
Haki nimecheka kwa nguvu hadi watu wamenishangaa,, tatizo nacomment huku kuna kazi nafanya ndiyo maana napitwa..
Hizo nazo bado ni primitive....top speed yake ni 160km/hr
Wamakonde...
Sijui nikufukulie ule uziHapana, in fact TZ yote wanaume wanaonea sana kina mama haswa huko vijijini...






nyoo
Khaaah!! Hawa ndugu zako wameniharibu maana nilikuwa nikishusha wananishangaa na kuniuliza "hivi mwalimu wewe mtu wa wapi?" Nikaona isiwe taabu, imebaki nalishushaga home tu.
Khaaah!! Hawa ndugu zako wameniharibu maana nilikuwa nikishusha wananishangaa na kuniuliza "hivi mwalimu wewe mtu wa wapi?" Nikaona isiwe taabu, imebaki nalishushaga home tu.
Kuna mtu aliwahi kuniambia nilivyokuwa espy nilikuwa kakorofii, sasa which is which![]()
Rudi espy, hebu andikia invizibo au modereta rait nau...
Kuna mtu aliwahi kuniambia nilivyokuwa espy nilikuwa kakorofii, sasa which is which![]()
Mnyakyusa tenahaushindwi kabisa.
Ndiyo shida sasa, unajikuta huwezi kuunga stories maana yaiyopita yanakuwa ni mengi.
All in all, ni moja ya thread zimepunguza bifu JF.
Ashukuriwe mlozi mkuu wa JF Mshana.
Bufu tena?!!!!!!!!![]()



hamna nilikuwa namuelezea short short,, si ni whatsapp..
Kama naliona hilo gazeti.
Ni wivu tunyoo

Utaunguza mboga wewe
Kalumanzila nini tena?