Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli kabisa aisee hebu ongeeni ninyi labda atawaelewa yeye kashikilia kwamba hilo atoto ndiyo kaanza nalo wakati espy ndiyo zuri,, kwangu mimi lakini maana maoni yangu siyo sheria ila daah ingekuwa amri yangu....
Rudi espy, hebu andikia invizibo au modereta rait nau...
 
Umeona eenh?? Ambao hawakuwahi kufunguka nao wamefunguka na Mshana amesema bado safari hii akiingia kilingeni akitoka watu wataanza kutuma picha zao full humu kuanzia sura hadi miguu!!
Ndiyo shida sasa, unajikuta huwezi kuunga stories maana yaiyopita yanakuwa ni mengi.

All in all, ni moja ya thread zimepunguza bifu JF.

Ashukuriwe mlozi mkuu wa JF Mshana.
 
Back
Top Bottom