Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
Kumbe ulikuwepo!! Hio za kawaida mbon!!Nite nite
Kumbe ulikuwepo!! Hio za kawaida mbon!!Nite nite
Twende jukwaa la soka, tukakiwashee kulee.Nilikuwa najiandaa kulala ila hii comment imenirudisha ili nikujibu, maana wewe ni kashenzi sana.
Mimi sio mzee.
Ngoja nilale sasa.





Usingizi umekata ulivyonikumbusha vawulance za jukwaa la soka, tangulia nakuja😂😂.Twende jukwaa la soka, tukakiwashee kulee.![]()
Friday 28 July!!Duh...Mimi nilishasahau hayo mambo. Mnafunga lini?
Usingizi umekata ulivyonikumbusha vawulance za jukwaa la soka, tangulia nakuja.
Kikubwa tags tu.





nawachachua utopoloooo balaaa.5:00 unawahi wapi aisee 😁Kumekucha tukapurukushane!
hata kitandani panaweza kuwa mahala pa purukushani tena hiyo mida na hili joto safi5:00 unawahi wapi aisee 😁
Lips👌👌!!Blue Monday kwenu tukalijenge taifa
View attachment 2302961
Asaaannnteeeeeeehhhhhheeeeee!!!Wiki yangu itaenda viizzzuuuuuuuuurreeee kabisa!!Nipo best
Mzima na wengine hamjambo
Nipe moya basi ya kufungulia weekLips👌👌!!
Amenn!!