Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Namalizia kujisnapAisee nimesubiri sana
Namalizia kujisnapAisee nimesubiri sana
Nimeacha nkamu🙌🙌🙌Nipo busy na maombi ya kukufungua nkamu. Siku hizi umenoga hadi umechachuka![]()
Jamani na shughuli si ilikuwa tarehe 9? Kweli fundi mkweli ni kinyozi.ipi hiyoooo??? Mama malezi,
Hivi fundi wako unajua akili anazo mwenyewe tyuuh, yaan nguo hadi leo hajamaliza, bado kuweka nguo ya nyuma kwa suruali.
Uwiiiih



36?? Wee ni lizee mwendo umeumalizaaa.Degree yangu ya kwanza nimeichukua miaka minne baada ya kumaliza advance, maana nilipita kwanza TMA (Tanzania Military Academy).
Hata hivyo bado sio age-go (36).








Shughuri ishapitaa yaan fundi kajua kuninyoosha.haswaaah.Jamani na shughuli si ilikuwa tarehe 9? Kweli fundi mkweli ni kinyozi.
Picha ambazo umepost nikiwa busy natype
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh I see. Yeah bado unadai kwa kweliDegree yangu ya kwanza nimeichukua miaka minne baada ya kumaliza advance, maana nilipita kwanza TMA (Tanzania Military Academy).
Hata hivyo bado sio age-go (36).
Picha zake hazikaagi dakikaMjep nakuona upo hewani unajenda maghorofaa🤣🤣🤣!!
Nakuquote ushafutaaa😉👈👈
Mambo ya mr Vocha utayaweza!! Sijui kaweka nini hata!
Hahahahaha nisitengwe bwana, ukiniona utahisi ni 20's kabisa kwahiyo bado nimo😂😂.36?? Wee ni lizee mwendo umeumalizaaa.
![]()
Khaaa. Muache aishone kwa nafasi yake sasa, atakupa siku akijisikia kuimaliziaShughuri ishapitaa yaan fundi kajua kuninyoosha.haswaaah.
Sawa; hongera mwanafunzi mtiifu wa CocaKwani nimefanyaje mama mchungaji?
Huyu cocastic ndo ananifundisha hayo mambo kweli nimeacha
Mama mchungaji kweli nimekumissSawa; hongera mwanafunzi mtiifu wa Coca