Taarifa za kifo nilizisikia mapema lakini sikuwahi kujua kama alikuwa lecturer Mzumbe Morogoro hadi alipofariki ndiyo nikajua!! Halafu umejisahaulisha mimi nimesoma Mzumbe ya wapi siyo??
Kuna mama alimleta mwanae shuleni(anamsumbua sana) akamkabidhi kwangu nimsaidie kumnyoosha. Sasa alikuja na mdogo wake, mdogo wake akamuuliza "hivi huyu mwalimu mpole hivi ndio unamkabidhi huyu chautundu atamuweza kweli?" Walimu wengine kusikia hivyo acha wacheke
Chiiiiii hivi ndiyo uliniambia kuwa nimefanya kazi pale jumba jeupe?? La wapi Magogoni au Chamwino?? Yaani wewe kazi za watu kama kina FaizaFoxy ndiyo unakuja kutupachika sisi