AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,269
Kilo ngapiNaweka na share yakoView attachment 2301534
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kilo ngapiNaweka na share yakoView attachment 2301534
Nyoda ndio nn maana kwenye gololi maneno mengi ni kiingereza tu 😄😄😄Ndyooo ndo hivi, unalenga kwenye nyoda.
Sasa wee unachezaje hivi?? Nambie
Sawa mamieNi gud bibie... Badae utupie sawa ma angu
Asante mamyyyy!! Wee ongeza hapo mie nakulaaaaaa balaaaa🤣🤣🤣🤣😘😘Naweka na share yakoView attachment 2301534
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimemkumbuka last born 🤣🤣🤣Nyoda ndio nn maana kwenye gololi maneno mengi ni kiingereza tu 😄😄😄
Utaskia lift mara no lift touch mara no touch 😀😀
Daaah kwa kweli nimekumbuka mbali sana nikiangalia ss hv watu wana vitambi duuh huwezi amini kama alikua anajaza gololi kwenye kopo nakuona kama ana dhahabu vileNimemkumbuka last born 🤣🤣🤣
“No touch hapo, no touch
Nyoda jipya sana
Nime mkumbuka sana Baba 😭😭😭😭Dungu aka chuma 😀😀😀
Happ zamani mambo yalikuwa shwari 😀😀Usiombe upigwe lift na mwenye dungu 😄😄😄 ujue hio ni mpaka shimoo
Nipigie basi nataka kulala 😀😀Nilikuwa naongea na mshua kwa simu ndogo huku naperuzi hii page,, nimekutana na neno ‘dungu’
Nikajikuta cheko limeniponyoka, mshua akauliza vipi 🤣🤣🤣🤣🤣
Robo hyo
Dungu aka chuma 😀😀😀
Yah man sasa hv watu wazima tunakimbizana na maisha ss hv hakuna kunyuti 😀😀😀😀Happ zamani mambo yalikuwa shwari 😀😀
SawA ngoja niongeze..... Robo nyengineAsante mamyyyy!! Wee ongeza hapo mie nakulaaaaaa balaaaa![]()
Kwa hali ya ss watu watajua kumbe waliyekua wanamlaumu ttz sio yeye inaweza kuwa ni mfumo
Si ulaleNipigie basi nataka kulala 😀😀
AMINANg'wagūkū nkoyi....
Seba Alīho. Ūgūpīla chiza dūhū
Hako kakifaa hata mimi ninako na nilipewa na daktari. Pamoja na kazi zinginezo, kanasaidia pia kupunguza stress.
Dwikale na mhola nkoyi.
View attachment 2301505
Emu selfika 😂Yah man sasa hv watu wazima tunakimbizana na maisha ss hv hakuna kunyuti 😀😀😀😀