Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Nilikuwa nazipasua na dungu ๐๐๐๐ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treniDah aisee nimekumbuka mbali sana enzi hizoo ๐๐๐
Nilikuwa nazipasua na dungu ๐๐๐๐ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treniDah aisee nimekumbuka mbali sana enzi hizoo ๐๐๐
Kwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni ๐๐๐Nilikuwa nazipasua na dungu ๐๐๐๐ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treni
zamani raha sana, na ile michezo ya hela mnachimba kashimo .. ukiwa na mbawa unazipiga ๐๐๐Kwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni ๐๐๐
ลชgwendeleaga gฤซnehenzunone?
Nagwendeleaga chiza bhageshi japo bado vidole havijakaa sawa navifanyia mazoeziลชgwendeleaga gฤซnehenzunone?
Mimi nilishastafu miaka Kenda iliyopita, kwahiyo Sina connection yeyote currently Chief ila kama ni kulima have got huge farmers to cultivate๐คช๐๐Babu la mchongo
Mpe binti ajira
Connection ndio kama hivi
Ng'wagลซkลซ nkoyi....Nagwendeleaga chiza bhageshi japo bado vidole havijakaa sawa navifanyia mazoezi
Eng'wasi bhageshi
Let's have fun together babuu namie nataka kufurahiiView attachment 2301502
Kama madeni yapo na hayawezi kuisha, let's have glass of wine [emoji485]
Let's have fun guys, it's weekend [emoji1635]
Wikendi wapi Bosi Ledi?Let's have fun together babuu namie nataka kufurahii
Nothing serious Mjukuu.Let's have fun together babuu namie nataka kufurahii
Mweh!!! Nimetoka kupeleka wanafunzi tour ya huko bushiiiiii...ndio nimerudi Saivi mejichokeaje hapa msukuma!!!Wikendi wapi Bosi Ledi?
Tuone gauni la mtoko
Mwambie bibi namie Nakuja tukumbushie huo ujanaaa!!Nothing serious Mjukuu.
Nimekumbuka tu enzi za Ujana wetu na Bibi yako miaka Ile ๐คช๐๐
Nilikuwa nazipasua na dungu ๐๐๐๐ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treni
Nilikuwa naongea na mshua kwa simu ndogo huku naperuzi hii page,, nimekutana na neno โdunguโKwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni ๐๐๐
kwaiyo umegoma ambia meme?๐๐๐๐๐๐๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค!!
Pole Bosi LediMweh!!! Nimetoka kupeleka wanafunzi tour ya huko bushiiiiii...ndio nimerudi Saivi mejichokeaje hapa msukuma!!!