Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Nilikuwa nazipasua na dungu ππππ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treniDah aisee nimekumbuka mbali sana enzi hizoo πππ
Nilikuwa nazipasua na dungu ππππ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treniDah aisee nimekumbuka mbali sana enzi hizoo πππ
Kwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni πππNilikuwa nazipasua na dungu ππππ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treni
zamani raha sana, na ile michezo ya hela mnachimba kashimo .. ukiwa na mbawa unazipiga πππKwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni πππ
Εͺgwendeleaga gΔ«nehenzunone?
Nagwendeleaga chiza bhageshi japo bado vidole havijakaa sawa navifanyia mazoeziΕͺgwendeleaga gΔ«nehenzunone?
Mimi nilishastafu miaka Kenda iliyopita, kwahiyo Sina connection yeyote currently Chief ila kama ni kulima have got huge farmers to cultivateπ€ͺππBabu la mchongo
Mpe binti ajira
Connection ndio kama hivi
Ng'wagΕ«kΕ« nkoyi....Nagwendeleaga chiza bhageshi japo bado vidole havijakaa sawa navifanyia mazoezi
Eng'wasi bhageshi


Let's have fun together babuu namie nataka kufurahiiView attachment 2301502
Kama madeni yapo na hayawezi kuisha, let's have glass of wine
Let's have fun guys, it's weekend![]()
Wikendi wapi Bosi Ledi?Let's have fun together babuu namie nataka kufurahii
Nothing serious Mjukuu.Let's have fun together babuu namie nataka kufurahii
Mweh!!! Nimetoka kupeleka wanafunzi tour ya huko bushiiiiii...ndio nimerudi Saivi mejichokeaje hapa msukuma!!!Wikendi wapi Bosi Ledi?
Tuone gauni la mtoko







Mwambie bibi namie Nakuja tukumbushie huo ujanaaa!!Nothing serious Mjukuu.
Nimekumbuka tu enzi za Ujana wetu na Bibi yako miaka Ile π€ͺππ
Nilikuwa nazipasua na dungu ππππ pwaaa nilikuwa nachugua zile golori za chuma ambazo zinatumika kwenye treni
Nilikuwa naongea na mshua kwa simu ndogo huku naperuzi hii page,, nimekutana na neno βdunguβKwenye mchezo wa gololi wenye dungu anakaaa pembeni πππ
kwaiyo umegoma ambia meme?πππππππ€π€π€π€π€!!
Pole Bosi LediMweh!!! Nimetoka kupeleka wanafunzi tour ya huko bushiiiiii...ndio nimerudi Saivi mejichokeaje hapa msukuma!!!