Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Noma sanadear nimecheka km mwehu. Uwiiiih
Hahaha acha tu dear
Noma sanadear nimecheka km mwehu. Uwiiiih
IFM ina mahandsome jamani sio poa🔥🔥Wanaume
MUHAS
IFM
MZUMBE
UDSM
UDOM
etc.![]()
IFM ina mahandsome jamani sio poa![]()
nishadate nao ka wawili hivi![]()



wacha wee.😅😅😅😅😅 ni kweli??
nimekosa 🥺Wale wa #airtel#
*104*02111315483767#
Irudiwee uncle🥺Wale wa #airtel#
*104*02111315483767#




hivi ngoja niulizee, field ni lazima au hiyari??wanapita kimya kimya😅😅😅😅Mnaochukua vocha hebu mselfike hapa .
Yaan wanaboa mnooo.wanapita kimya kimya![]()
ni lazima maana inakua part ya coursework kwa chuo changu sijui vinginehivi ngoja niulizee, field ni lazima au hiyari??
Sasa mbna wengine huwa wanakosa nafas na sehemu za Field, huwa sijawahi elewa inakuaje.ni lazima maana inakua part ya coursework kwa chuo changu sijui vingine
Inategemea na vyuo na kada husikahivi ngoja niulizee, field ni lazima au hiyari??