cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Ngojaaa namleta soon le chemistressKatutafutie huko umlete wewe unaonekana Rafiki yake sana!




Ngojaaa namleta soon le chemistressKatutafutie huko umlete wewe unaonekana Rafiki yake sana!




Kesho njoo tena utalionaHata goti umeamua kulificha.
Nilivyo na ugonjwa na goti za wadada.
Umenikatili.
Ni nini
Sasa usilie jamani 🤣Hio tabia ya kukata kata na kuweka some parts izoizo kila siku 😏😏😏😏!! si muweke full tu nanyie!!
Una guu la biaa
Yeah raha sanaThem good old days![]()
Kutwa kuwapa barua za utambulisho kwa njia ya Short cut,, lazima utolewe salio.
Taasisi za Elimu ya Juu.Ni nini
Fanya hivoooo asee Bosi ledi ni moja ya watu naowakubali sana hapa ndie alinivutia kuja kurelax huku selfika!!Ngojaaa namleta soon le chemistress
![]()
Amen itakuwa hivyoYaan nashukuru wawe na moyo km sehemu zingne nilizoipita, nilifaidi sanaaa.
Nimejikuta nacheka kwanguvu D😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆!!Sasa usilie jamani 🤣
Ngoja niangalie full
Utendaji wa kijiji/mtaa na kata.Yeah raha sana
Kazi nzuri hii .. unaandika zako vibarua na kusikiliza kesi za hapa na pale .
Siku mtu akija kuuza nyumba au chochote
Kuna mgawo hapo ,hukosi vicent hapo .
Ee kumbe kuna taasisi na vyuo vikuuTaasisi za Elimu ya Juu.
Anayesoma pale undergraduate halafu Masters anaenda pale aisee ameamua hahahDuuuuuh ilikua hatareee, woiiiiih
.Ndo unajua leo?? Poleeeeeh.Ee kumbe kuna taasisi na vyuo vikuu
Fanya hivoooo asee Bosi ledi ni moja ya watu naowakubali sana hapa ndie alinivutia kuja kujimwayamwaya huku selfika!!



anakujaaa kuwa mpoleee.Yeah hiyoUtendaji wa kijiji/mtaa na kata.
Duuuh itabidi uende tena pale pale.Anayesoma pale undergraduate halafu Masters anaenda pale aisee ameamua hahah
Kwa nini usisomee campus ya Dar ?
Japo mie Masters yangu ipo pale tu.
Aaah sawa nilikuwa nimesahauNdo unajua leo?? Poleeeeeh.
Institutes na university ni tofauti.
Una bela sana, afu kipindi cha uchaguzi sasa? Wee au km hivi wakati wa zoezi la sensa. Pesa nje nje.Yeah hiyo
Naipenda kweli hata niwe mjumbe wa serikali ya mtaa ... Unajipatia kibarua chako hapo .
Baadae sana hukoDuuuh itabidi uende tena pale pale.